fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 11,109
- 19,993
So kama tuna hali hiyo je yatupasa kuiangalia huku jamii ikiumia na Kodi wanakatwa? Au kwa mawazo yako unadhani nini kifanyike kurekebisha hali?Umeongea ukweli mtupu ila sio kwa serikali yetu hii ambayo kila mtu anawamba usawa wake hamuwazii mwingine anachowaza ni yeye tu
Sisi wote ni watanzania na tuna haki ya kugawana sawa keki ya taifa.