Binadamu hujifunza kutokana na makosa hivyo nami nmejifunza kitu!
Sio kila wanawake wana tabia ya ku-complicate matters kama wewe.
Its all about having sexual pleasure. Sasa ulitaka amchunguze kwani alipanga kumuoa?
Sasa mnalalamikaga nn?
Siku nyingine ukiparamia wadada usiowajua ununue condom na ky jelly. Itakurahisishia maisha kwa wepesi
ukome wewe Mbwa dume kama lilivyo jina lako. unakutana na
binti jana, leo appointment ya kwanza mnakutana chumbani ndani ya sita
kwa sita??
mweee..kweli tunakoelekea siko.
Huu ni ushamba sasa, na sio kitu kingine. Hivi kweli ni jambo la ajabu mwanamme kuzungumza na mwanamke leo na kugegeda leo leo!?
Hapa duniani tumetofautiana. Kuna watu wanapenda complications na wengine hawapendi.
Hivyo sio ajabu haswa kwa hapa DSM kuonana leo na kupeana uroda leo leo. Sijui wadada wa humu JF mpo too local or what.
Huyo demu hana mume wala lolote. Ni mpiga dili tu. Hapa alikuwa anataka pesa zako pamoja na hao manyangau wenzake. Mshukuru shetani wako, mjini hapa
wanaofanya hivyo ni wanyama kama kuku na sio binadamuHuu ni ushamba sasa, na sio kitu kingine. Hivi kweli ni jambo la ajabu mwanamme kuzungumza na mwanamke leo na kugegeda leo leo!?
Hapa duniani tumetofautiana. Kuna watu wanapenda complications na wengine hawapendi.
Hivyo sio ajabu haswa kwa hapa DSM kuonana leo na kupeana uroda leo leo. Sijui wadada wa humu JF mpo too local or what.
wanaofanya hivyo ni wanyama kama kuku na sio binadamu