Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,890
- 6,899
- Thread starter
- #41
kuoza ni kule kule hata akizikwa wapi....
Wengine hupuliziwa dawa hawaozi ila miili yao hukauka tu. Lakini ukweli unabaki kila mtu kuwa ni udongo na kurudia kuwa udongo tu.