Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,152
Hii ni ushauri kwa aliye karibu na bilionea mpya, Laizer wa Arusha.
Aogope sana maana waandishi wa habari watampamba, watamfurahia mpaka mwisho akiwapa vijisenti wakimtangaza.
Siku akiishiwa huanika kila kitu na kubakia haamini kama ni wale waliokula naye nyama za ng'ombe na kutapakaa.
Namwona kila mara wapo wote, hope wamehamia Arusha kabisa. Kila ukiamka kuangalia taarifa unakutana na mara mke wake, mara mtoto wa Laizer mara nyumba za wake zake.
Nimkumbushe alikuwepo bwana anaitwa Askofu ambaye alinunua hoteli hapo Arusha na timu ya mpira na ni Muarusha.
Ndugu wa karibu fuatilia kilichomtokea mpaka sasa, yupo kama yupo.
Fuatilia yale masheli yake kila kona yaliishia wapi, now wako wanamiliki vijana wadogo.
Waangalie sana waandishi mkuu bilionea, wasikuzoee sana kama familia yako.
Nawatakia la kheri.
Aogope sana maana waandishi wa habari watampamba, watamfurahia mpaka mwisho akiwapa vijisenti wakimtangaza.
Siku akiishiwa huanika kila kitu na kubakia haamini kama ni wale waliokula naye nyama za ng'ombe na kutapakaa.
Namwona kila mara wapo wote, hope wamehamia Arusha kabisa. Kila ukiamka kuangalia taarifa unakutana na mara mke wake, mara mtoto wa Laizer mara nyumba za wake zake.
Nimkumbushe alikuwepo bwana anaitwa Askofu ambaye alinunua hoteli hapo Arusha na timu ya mpira na ni Muarusha.
Ndugu wa karibu fuatilia kilichomtokea mpaka sasa, yupo kama yupo.
Fuatilia yale masheli yake kila kona yaliishia wapi, now wako wanamiliki vijana wadogo.
Waangalie sana waandishi mkuu bilionea, wasikuzoee sana kama familia yako.
Nawatakia la kheri.