Bila JK hali ingekuwaje?

Tiote

Senior Member
Mar 6, 2011
139
36
Wandugu naomba mnivumilie lakini nina hoja ya kuijadili. Kwa muda mrefu tumekuwa tukisikia kashfa na tuhuma mbali mbali dhidi ya viongozi wetu na hata wafanya biashara maarufu nchini wakihusishwa na tuhuma au shutuma mbalimbali za kukosa uadilifu na uhujumu uchumi. Kupitia taarifa hizi, wako ambao wamelazimika kuwajibika na wachache kufikishwa mahakamani. Kupitia taarifa hizi, tumeweza hata sisi kutoa michango yetu kupitia kwenye majukwaa mbalimbali likiwemo hili maarufu la JF. Lakini tumewahi kujiuliza uhuru huu wa kuhoji, kushutumu na kushambulia maovu umetokana na nini na umeanza lini.

Kwa ufahamu wangu hli hii imejitokeza kwa upana huu tunaoufurahia baada ya serikali ya awamu ya nne kuingia madarakani na ni matunda ya juhudi binafsi za JK. Katika awamu iliyopita haya yanayojitokeza leo yalikuwepo, tena kwa kiasi cha kutisha lakini tuliyajua kwa undani na ufasaha baada ya awamu hiyo kuondoka. Katika tawala za kidhalimu huko kwa wenzetu, uhuru huu kwa vyombo vya habari na watu binafsi ni ndoto na hata hapa tumeshuhudia watu wakiadhibiwa kiasi hata cha kunyang'anywa uraia kwa kusema kile walichoamini kwamba ni sahihi. Huko nje hali ni mbaya zaidi kwani wapo wanaopoteza maisha wakiusotoea uhuru huu. Hatutaki hilo litokee hapa na nina uhakika halitatokea maana kama ni kutokea lingeshatokea kwani uhuru huo umefikia hata kushambulia maisha binafsi ya rais na familia yake lakini mambo shwari tu.

Mimi ninavyoamini hili ni matunda ya uvumilivu binafsi wa JK na ni vizuri katika hili tumpe sifa yake, maana kama inafikia kwamba hata mafisadi nao wanapata fursa ya kuongea wakati sasa hivi walitakiwa kuwa wameshalala kule segerea au ukonga, basi hakuna fursa kubwa kuliko hiyo. Waswahili wanasema ukimsifia baba yako kwamba anakimbia sana basi umsifie na yule aliyemkimbiza! Naomba kutoa hoja na samahani kwa wale watakaokwazika.
 
Wandugu naomba mnivumilie lakini nina hoja ya kuijadili. Kwa muda mrefu tumekuwa tukisikia kashfa na tuhuma mbali mbali dhidi ya viongozi wetu na hata wafanya biashara maarufu nchini wakihusishwa na tuhuma au shutuma mbalimbali za kukosa uadilifu na uhujumu uchumi. Kupitia taarifa hizi, wako ambao wamelazimika kuwajibika na wachache kufikishwa mahakamani. Kupitia taarifa hizi, tumeweza hata sisi kutoa michango yetu kupitia kwenye majukwaa mbalimbali likiwemo hili maarufu la JF. Lakini tumewahi kujiuliza uhuru huu wa kuhoji, kushutumu na kushambulia maovu umetokana na nini na umeanza lini.

Kwa ufahamu wangu hli hii imejitokeza kwa upana huu tunaoufurahia baada ya serikali ya awamu ya nne kuingia madarakani na ni matunda ya juhudi binafsi za JK. Katika awamu iliyopita haya yanayojitokeza leo yalikuwepo, tena kwa kiasi cha kutisha lakini tuliyajua kwa undani na ufasaha baada ya awamu hiyo kuondoka. Katika tawala za kidhalimu huko kwa wenzetu, uhuru huu kwa vyombo vya habari na watu binafsi ni ndoto na hata hapa tumeshuhudia watu wakiadhibiwa kiasi hata cha kunyang'anywa uraia kwa kusema kile walichoamini kwamba ni sahihi. Huko nje hali ni mbaya zaidi kwani wapo wanaopoteza maisha wakiusotoea uhuru huu. Hatutaki hilo litokee hapa na nina uhakika halitatokea maana kama ni kutokea lingeshatokea kwani uhuru huo umefikia hata kushambulia maisha binafsi ya rais na familia yake lakini mambo shwari tu.

Mimi ninavyoamini hili ni matunda ya uvumilivu binafsi wa JK na ni vizuri katika hili tumpe sifa yake, maana kama inafikia kwamba hata mafisadi nao wanapata fursa ya kuongea wakati sasa hivi walitakiwa kuwa wameshalala kule segerea au ukonga, basi hakuna fursa kubwa kuliko hiyo. Waswahili wanasema ukimsifia baba yako kwamba anakimbia sana basi umsifie na yule aliyemkimbiza! Naomba kutoa hoja na samahani kwa wale watakaokwazika.


Hii nimeikubali mkuu! Umezama na kutukumbusha kwamba hali hii haikujileta hivihivi na wala hatukumwaga damu kuipata kama wengine huko wanavyofanya. Wahenga wanasema samaki ndani ya maji hajui umuhimu wa maji, wimbi la ukombozi likimtoa ufukweni na kumrejesha bahari kina ndipo anapojua kwamba maisha bila maji kwake si lolote! Big up sana!
 
Wandugu naomba mnivumilie lakini nina hoja ya kuijadili. Kwa muda mrefu tumekuwa tukisikia kashfa na tuhuma mbali mbali dhidi ya viongozi wetu na hata wafanya biashara maarufu nchini wakihusishwa na tuhuma au shutuma mbalimbali za kukosa uadilifu na uhujumu uchumi. Kupitia taarifa hizi, wako ambao wamelazimika kuwajibika na wachache kufikishwa mahakamani. Kupitia taarifa hizi, tumeweza hata sisi kutoa michango yetu kupitia kwenye majukwaa mbalimbali likiwemo hili maarufu la JF. Lakini tumewahi kujiuliza uhuru huu wa kuhoji, kushutumu na kushambulia maovu umetokana na nini na umeanza lini.

Kwa ufahamu wangu hli hii imejitokeza kwa upana huu tunaoufurahia baada ya serikali ya awamu ya nne kuingia madarakani na ni matunda ya juhudi binafsi za JK. Katika awamu iliyopita haya yanayojitokeza leo yalikuwepo, tena kwa kiasi cha kutisha lakini tuliyajua kwa undani na ufasaha baada ya awamu hiyo kuondoka. Katika tawala za kidhalimu huko kwa wenzetu, uhuru huu kwa vyombo vya habari na watu binafsi ni ndoto na hata hapa tumeshuhudia watu wakiadhibiwa kiasi hata cha kunyang'anywa uraia kwa kusema kile walichoamini kwamba ni sahihi. Huko nje hali ni mbaya zaidi kwani wapo wanaopoteza maisha wakiusotoea uhuru huu. Hatutaki hilo litokee hapa na nina uhakika halitatokea maana kama ni kutokea lingeshatokea kwani uhuru huo umefikia hata kushambulia maisha binafsi ya rais na familia yake lakini mambo shwari tu.

Mimi ninavyoamini hili ni matunda ya uvumilivu binafsi wa JK na ni vizuri katika hili tumpe sifa yake, maana kama inafikia kwamba hata mafisadi nao wanapata fursa ya kuongea wakati sasa hivi walitakiwa kuwa wameshalala kule segerea au ukonga, basi hakuna fursa kubwa kuliko hiyo. Waswahili wanasema ukimsifia baba yako kwamba anakimbia sana basi umsifie na yule aliyemkimbiza! Naomba kutoa hoja na samahani kwa wale watakaokwazika.

Samahani kwa jibu langu hili: Bila ya Jk nadhani nchi ingekuwa na matumaini makubwa ya kuwapo kwa amani ya kudumu(siyo ya sasa inayopigiwa debe) maana viongozi wangewajibishwa vilivyo -- mafisadi wangepelekwa wanakostahili -- jela -- na nchi ingeokoa mapesa mengi yanayoibiwa hivo serikali kuweza kutoa huduma vizuri kwa wananchi.
 
Wandugu naomba mnivumilie lakini nina hoja ya kuijadili. Kwa muda mrefu tumekuwa tukisikia kashfa na tuhuma mbali mbali dhidi ya viongozi wetu na hata wafanya biashara maarufu nchini wakihusishwa na tuhuma au shutuma mbalimbali za kukosa uadilifu na uhujumu uchumi. Kupitia taarifa hizi, wako ambao wamelazimika kuwajibika na wachache kufikishwa mahakamani. Kupitia taarifa hizi, tumeweza hata sisi kutoa michango yetu kupitia kwenye majukwaa mbalimbali likiwemo hili maarufu la JF. Lakini tumewahi kujiuliza uhuru huu wa kuhoji, kushutumu na kushambulia maovu umetokana na nini na umeanza lini.

Kwa ufahamu wangu hli hii imejitokeza kwa upana huu tunaoufurahia baada ya serikali ya awamu ya nne kuingia madarakani na ni matunda ya juhudi binafsi za JK. Katika awamu iliyopita haya yanayojitokeza leo yalikuwepo, tena kwa kiasi cha kutisha lakini tuliyajua kwa undani na ufasaha baada ya awamu hiyo kuondoka. Katika tawala za kidhalimu huko kwa wenzetu, uhuru huu kwa vyombo vya habari na watu binafsi ni ndoto na hata hapa tumeshuhudia watu wakiadhibiwa kiasi hata cha kunyang'anywa uraia kwa kusema kile walichoamini kwamba ni sahihi. Huko nje hali ni mbaya zaidi kwani wapo wanaopoteza maisha wakiusotoea uhuru huu. Hatutaki hilo litokee hapa na nina uhakika halitatokea maana kama ni kutokea lingeshatokea kwani uhuru huo umefikia hata kushambulia maisha binafsi ya rais na familia yake lakini mambo shwari tu.

Mimi ninavyoamini hili ni matunda ya uvumilivu binafsi wa JK na ni vizuri katika hili tumpe sifa yake, maana kama inafikia kwamba hata mafisadi nao wanapata fursa ya kuongea wakati sasa hivi walitakiwa kuwa wameshalala kule segerea au ukonga, basi hakuna fursa kubwa kuliko hiyo. Waswahili wanasema ukimsifia baba yako kwamba anakimbia sana basi umsifie na yule aliyemkimbiza! Naomba kutoa hoja na samahani kwa wale watakaokwazika.

Well said......mnyonge mnyongeni....
 
Ni kweli kabisa unayosema ila nina mashaka sana kuamini tusubirie utekelezaji wa ahadiiiiiiiiii
 
Wakati tunaendelea kusubiri "ahadi zitimie" kama ilivyosemwa hapo juu, ni vizuri tukakubali kwamba so far so good na hilo wala halina uhusianao na ahadi zake kwenye ilani ya uchaguzi. Hapa linalozungumziwa nadhani ni hatua tulizozifikia katika kufungua milango ya kutoa maoni bila woga au hofu ya kutiwa adabu. Hicho tunachokiona sasa middle east ni kupigania mambo kadhaa likiwemo hilo la uhuru wa kujieleza ambao huku uko bwerere. Tukiweza kuutumia responsibly basi tutaendelea kuufaidi kwa muda wote wa utawala wake. Lakini du! tunavyomtia vidole machoni!
 

Samahani kwa jibu langu hili: Bila ya Jk nadhani nchi ingekuwa na matumaini makubwa ya kuwapo kwa amani ya kudumu(siyo ya sasa inayopigiwa debe) maana viongozi wangewajibishwa vilivyo -- mafisadi wangepelekwa wanakostahili -- jela -- na nchi ingeokoa mapesa mengi yanayoibiwa hivo serikali kuweza kutoa huduma vizuri kwa wananchi.

Ni kweli kwamba kuna watu wana-enjoy uhuru ambao hauwastahili kutokana na matendo yao kwa wana wa nchi hii. Lakini hili ni tatizo la karibu nchi zote za kusini mwa jangwa la sahara - kupambana na mnyama anayeitwa impunity ni suala ambalo bado halijawekwa kwenye sehemu inayostahili na hili ni changamoto pia kwa JK, lakini hilo ni somo kwa siku nyingine. Kwa leo lililo wazi ni kwamba score card ya mkubwa huyu kwenye kufungua democratic space na kutufanya tujisikie tuke kwenye taifa huru, iko juu. A pat on the back mkuu!
 
Kwani mnasahau jinsi said kubenea na Tegambwage walivyomwagiwa acid? je mnakumbuka gazeti la dar leo lilivyofungiwa?,je mmesahau Mkuchika alivyokuwa anayatishia magazeti mwaka 2009 kuelekea uchaguzi mkuu?JK hajahusika katika kupanua uhuru wa kujieleza na kutoa maoni kwa maana ya nia thabiti ila ni kwa sababu amekuwa rais dhaifu tangia taifa hili lipate uhuru! Sasa amekuwa muumini wa kutumia nguvu ya fedha na dola kunyamazishi sauti na mawazo tofauti-Juzi juzi gazeti la raiamwema lilizuiliwa kuchapishwa coz limemuandika swahiba wake! JK ni incompetent na inakata moyo wa mwenda wazimu kumnadi. THINK AGAINB
 
Kwani mnasahau jinsi said kubenea na Tegambwage walivyomwagiwa acid? je mnakumbuka gazeti la dar leo lilivyofungiwa?,je mmesahau Mkuchika alivyokuwa anayatishia magazeti mwaka 2009 kuelekea uchaguzi mkuu?JK hajahusika katika kupanua uhuru wa kujieleza na kutoa maoni kwa maana ya nia thabiti ila ni kwa sababu amekuwa rais dhaifu tangia taifa hili lipate uhuru! Sasa amekuwa muumini wa kutumia nguvu ya fedha na dola kunyamazishi sauti na mawazo tofauti-Juzi juzi gazeti la raiamwema lilizuiliwa kuchapishwa coz limemuandika swahiba wake! JK ni incompetent na inakata moyo wa mwenda wazimu kumnadi. THINK AGAIN!
 
Me kwa mtazamo wangu huwezi tofautisha rangi ya tui na maziwa bila J.K ni sisiM tu ingekuwepo so hali ingekuwa hivi hivi yaani ovyo ovyo tu sababu sisiM hakuna aliebakia mwerevu ukitaka kufahamu ukweli sikia kauri zao mmoja mmoja au jaribu kuomba wazo la mwana SisiM Yeyote umuulize nchi inapoelekea ni pabaya usikie majibu yake unaweza kulia kama pinda utawajua mbu hawa wana mawazo mgando hata angekuwepo baba wa taifa angewaambia kuwa mnaipeleka nchi pabaya wangemwambia mzee unazeeka vibaya kumbuka umetokea wapi.. au kama kuna yeyote atuambie ccm kuna hata mwenye uwezo wa kuona mbali na nia haswa ya kuwaletea watanganyika maisha bora ya vitendo halisi... ajitokeze pls
 
Ni kweli kwamba kuna watu wana-enjoy uhuru ambao hauwastahili kutokana na matendo yao kwa wana wa nchi hii. Lakini hili ni tatizo la karibu nchi zote za kusini mwa jangwa la sahara - kupambana na mnyama anayeitwa impunity ni suala ambalo bado halijawekwa kwenye sehemu inayostahili na hili ni changamoto pia kwa JK, lakini hilo ni somo kwa siku nyingine. Kwa leo lililo wazi ni kwamba score card ya mkubwa huyu kwenye kufungua democratic space na kutufanya tujisikie tuke kwenye taifa huru, iko juu. A pat on the back mkuu!
Mimi nawashangaa wale wote wanaompa Kikwete sifa za kufungua nafasi ya demokrasia. Hiyo nafasi Kikwete aliikuta. Angalia jinsi alivyoyatumia magazeti kujipandisha chati na kuwaharibia wote wale aliofikiria kuwa ni maadui/washindani wake. Mtu kama huyu asingeweza kugeuka na kuanza kufuta nafasi aliyoikuta na ambayo ameitumia kwa manufaa.
 
Back
Top Bottom