Pole sana kaka yangu, kumbuka kwamba ukitaka cha unguni sharti uiname na mvumilivu hula mbivu. Mimi nakushauli kwamba endelea kuvumili Mungu akipenda utakuja kujua ukweli uko wapi na uongo uko wapi?
kama bikira zinatengenezwa kwa seremala anayo,niliwahi kuvumilia kama wewe kwa mwaka mmoja tukakorofishana kama miezi mitatu hivi tukawa hatuongei tuliporudiana tu akanipa mzigo nikashangaa kitu myiuuuuuuu ndani kiulaiiini.baada ya gemu naona marangi rangi sirini halafu baada ya siku tatu ananiuliza ''unaamini umenikata bikira?''ndo nikamjibu kama zinatengenezwa kwa seremala basi nimekukata shtuka.
Poa Mkuu Hv Ndo Niko Kwenye Mchakato
Sasa Mbona Iko Kinyume...Yaani "Rakibi" Badala Ya "Bikira"?
Mh!Kumbe Mimi Mshika Pembe?
Asalaleku Walah!...mapenzi Haya!!?
Pole na hongera sana kwa kumpata dem mtulivu na mwenye kujitunza, mi nadhan ni vizur ukiwa mvumilivu na mambo mazuri yako mbele yako. ila ukizidiwa sana we mwambie mpenz wako muangalie ni namna gani mnaweza kurudhishana ili kukizi mahitajio ya miili yenu
Jiengue mwaya kuna mtu anamgaramia na kumnyuka!
hahahahahahah....mi Nilizani Kuikuta Bikira Iliyopinduliwa Nje Ndan!
kwa watoto tu kazi kuipata, sembuse kwa mtu mzima,anaeweka hadi mawigi khaa,labda bikra ndogohivi bikra bado zina-exist kwa watu wazima ee??
mmmmh..unaibiwa hivi hivi..