Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,825
- Thread starter
- #201
Kwani weye unadhani anakupenda mpaka ufanye naye ngono tu? Sijui weye ni dini gani lakini amri ya 7 inasema usizini. Kama anajiamini ni bikra subiri mwoane!
Kwani Nina Haraka!?....... La Hasha,ila Nataka Nijue Hulka Ya Nje ya M2 Mwenye bikira,hyo Yote Ni Kutokana Na Mazingira Ya Nimzaniaye!
Isije Ikawa Nahifadhi Maji Ndani Ya Kisafeti!