Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
...why worrying about 'uasilia' wake sababu tu anaishi Mombasa?
past contestants, Mwisho Mwampamba ana uasili ya ugiriki, kama Richrad alivyo na uasilia wa uholanzi, na aliishi Uganda.
...Bongo ni multi cultural na interracial society. Au mpaka ashinde ndio anakuwa mtanzania mwenzetu?
past contestants, Mwisho Mwampamba ana uasili ya ugiriki, kama Richrad alivyo na uasilia wa uholanzi, na aliishi Uganda.
...Bongo ni multi cultural na interracial society. Au mpaka ashinde ndio anakuwa mtanzania mwenzetu?