DAR si LAMU
JF-Expert Member
- Mar 31, 2007
- 2,928
- 544
Hii ni kali!
Maana yake nini?
..maana yake, hamna cha bure, kila kitu kina gharama yake!
Hii ni kali!
Maana yake nini?
Twende mbele turudi nyuma.... Big brother si maadili yetu na niliyoyaona juzi saa nne na nusu usiku nilichoka. wanaume wanaoga na wanawake humohumo -i felt embarassed before my kids
Kweli she is real degrading her morals!BB3 imekuwa club ya ngono!
Strategies siyo lazima ziwe za kujidhalilisha tu. Ingeweza ikavutia pia kwa watazamaji kuona mtu anayeweza kucheza karata clean na kuibuka kidedea kama Cherise aliyeshinda BBA, Waafrika siyo lazima tuendelee kuwapa faida na kuprove the hypothesis za hao Eurocentrics kuwa Africans only know sex and partying!!!
Cherish dakika za mwisho alimpenda Mwisho lakini bahati mbaya aliwahiwa na Tapuwa wa Zimbabwe, kama unakumbuka siku ya Mwisho alimpa mwisho KISS ya nguvu, na hata alipoulizwa na BB alikiri kuwa ana feeling juu ya Mwisho, lakini bahati mbaya amewahiwa.
Alafu jambo lingine lazima tukubaliane kuwa SEX is a natural act, huwezi kushindana na hormones, zilitengenezwa ili zifanye kazi hiyo. Kwa hiyo so long you leave, and you are a heathy person, at one point or another you will experience this feeling, especially when there are stimulants (oposite sex) around. Haijalishi upo Big Brother, watu wanakuona au umejificha, feeling kichwani zipo kama kawaida. Kumbuka kwa nini Daladala Dar ziliamua watu wanaosimama wapeane migongo, kwa sababu at any time you can triger down the hormones.
...Daaah kuna KAUKWELI hapa bwana....lakini mbona huyu LATOYA wetu KIU yake imekuwa kali sana,mwanangu huu USONGO ndani ya wiki moja tu????,,,mi nafikiria ana andaa COUNTER ATTACK huyu,na kwa GAME hili wacha afanye.
hata kuku na mbwa wenyewe hawako hivyooo tusidanganyane
Huyu atamegwa ile mbaya nakuambieni na hafiki mbali....na akitoka kwenye jumna lile atakutana na akina Liumba watammega weee na kumuacha.....ndio celebrity wa Bongo walivyo......
Huyu Latoya wenu atatolewa mapema sana, naona kaenda kutafuta mabwana mle.
Weak strategy.......
Nasikitika sana kwa sababu inaonekana watakao mtoa Latoya ni waTanzania, Jamani huu ni mchezo tu, tum-support huyu mtoto, BBA I (Mwsho) alishika nafasi ya 2, BBA II (Richard) alishika nafasi 1 na BBA III (Latoya) akishinda tutakuwa tumejenga jina sana katika Ukanda wa Sub Saharan Countires.
huyo msichana ana hulka ya umalaya tu.
hapo tu anajua kuwa ulimwengu mzima unamuona na anafanya uharo huo, je akiwa chaka hakuna anayemfuatilia anakuwaje?
Kuna dadake anafanya kazi Vodacom analia tuu and cursing.Anajuta even why she had such a gal for a sis ila nadhani ni mnafiki tuu mana kinamuuma hapo hapo anaomba watu tumpigie kura Mdogo wake!
Kuna dadake anafanya kazi Vodacom analia tuu and cursing.Anajuta even why she had such a gal for a sis ila nadhani ni mnafiki tuu mana kinamuuma hapo hapo anaomba watu tumpigie kura Mdogo wake!
Nasikitika sana kwa sababu inaonekana watakao mtoa Latoya ni waTanzania, Jamani huu ni mchezo tu, tum-support huyu mtoto, BBA I (Mwsho) alishika nafasi ya 2, BBA II (Richard) alishika nafasi 1 na BBA III (Latoya) akishinda tutakuwa tumejenga jina sana katika Ukanda wa Sub Saharan Countires.
Strategies siyo lazima ziwe za kujidhalilisha tu. Ingeweza ikavutia pia kwa watazamaji kuona mtu anayeweza kucheza karata clean na kuibuka kidedea kama Cherise aliyeshinda BBA1. Vilevile kuna Ofuneka wa BBA2 aliyeweza kwa kiasi kikubwa kutoka na strategy ya service provision to others in the house badala ya kuwa jamvi la wageni kama wengine.It is not necessarily true kuwa utakavyojifanya hamnazo ndiyo utashinda.Tukumbuke hili shindano lina mambo mengi ndani yake zaidi ya burudani na ku portray mahusiano ya kingono!! Kuna watu wanakusanya data zao hapo na research on different aspects on human psychology. Waafrika siyo lazima tuendelee kuwapa faida na kuprove the hypothesis za hao Eurocentrics kuwa Africans only know sex and partying!!!
Nadhani ingekuwa jambo jema endapo kama jamii ingeweza kuwasaidia candidates for BBA kwa kuwapa mawaidha na mikakati ya ku survive in the BBA House - na hasa wazazi/walezi wangeweza kusaidia vijana hawa kwa kuwapa wosia kama inavyofanyika kwa mtu anayeenda kuishi maisha mapya - ya aina yeyote ile.Hii ingepunguza aibu.Mwaka huu kwa mfano, most of the BBA participants wako in their 20s - japo ni watu wazima bado wana utoto mwingi sana... wanahitaji kuongozwa.
Kwa kiasi kikubwa the way these people are behaving is a reflection of total failure on parents and jamii katika ku parent!
Kazi tunayo!