Bibi wa miaka karibu 70 anapolilia apigwe mtama!!

Sijui ndio ninazeeka na hizi lugha za siku hizi au vipi! Mimi ninafahamu kumpiga mtu mtama maana yake ni kumuangusha kwa kumtegua miguu na mara nyingi huambatana na ugomvi. Sasa kuiona inaambatana na ashki za huyo ajuza....imenichanganya.
:focus:Nahisi hakuna tatizo ikiwa tu tendo lenyewe ni la makubaliano. Wanaokwenda kwa mabadilishano ya huduma kwa pesa hawana sababu ya kulalamika pale bibi atakapokuwa hapati "ugoro wake" ipasavyo.
Yote 9, la 10 mimi kwa kutunza heshima yangu na maadili, po simo!

MAMMAMIA tafsiri yako ni sahihi lakinilugha ni matumizi yake na huweza kuunda tungo tata kama hii...wafikiri kazi ya kitandani ni lelemama....................ni ugomvi mkali hujitokeza kuonyeshana utaalamu na maufundi kibao.............hata kijasho kuwamiminika na wengineo hata kudai maji ya kunywa............
 
Last edited by a moderator:
Dunia imeisha! Kwani babu alishafariki???

Pakawa kumbe story hujaipata Bi Kizee hahitaji wazee wenzie kwani anaona ni mrenda yeye anataka ama-stallions tu...........babu kama alikuwepo alikwisha kupigwa kibuti siku nyingi sana..........
 
Last edited by a moderator:
sipendi kuwa mchoyo wa elimu kwa hiyo acha niwapashe khabari kidogo..........lakini huyu bibi kule Kenya anapenda vijana wadogo wadogo wa kiume wampige mtama wa uhakika na huwalipa vizuri sana kama kazi yao imemridhisha na baadaye huwakinai na kuwatimua. Yupo tayari kufunga biashara zake akipata huduma stahiki...................na wakati mwingine huwafungia ndani waathrika wake kwa kipindi hivi akipata huduma ya uhakika...........................hata alisababisha kijana mmoja amkimbie mkewe kwa kuona mgawo wa mipesa ya huyu bi kizee........................

nisiwamalizie utamu wenye kuujua umombo someni kwa furaha na wale ambao hawaujui basi ridhikeni na hii dibaji yangu...............

Amorous granny with a love for young studs

baada ya kusoma hivi ukipata kizee au bibi au babu na ana mipesa ya kumwaga je utafukuzia ugali au utachunga heshima yako hata kama ni kulala na njaa?

hebu mnjibu nami nitaweelezea kilichoko moyoni mwangu kama ningelikuwa nimebanwa na huyu Bi kizee...........

Huyo bibi atakuwa na kipele,70yrs akikutana na mtu kama miye si anaweza akazimikia kifuani!
 
haha, mpendwa Ruta,

hujalala bado??

mimi ni mjakazi wa Bwana na nitendewe kama ulivyosema!!

haleluyah!!

ubarikiwe sana mpendwa,

Glory to God!

Nilale wapi nami nakusubiria wewe Ms Judith utamke neno
 
Last edited by a moderator:
sipendi kuwa mchoyo wa elimu kwa hiyo acha niwapashe khabari kidogo..........lakini huyu bibi kule Kenya anapenda vijana wadogo wadogo wa kiume wampige mtama wa uhakika na huwalipa vizuri sana kama kazi yao imemridhisha na baadaye huwakinai na kuwatimua. Yupo tayari kufunga biashara zake akipata huduma stahiki...................na wakati mwingine huwafungia ndani waathrika wake kwa kipindi hivi akipata huduma ya uhakika...........................hata alisababisha kijana mmoja amkimbie mkewe kwa kuona mgawo wa mipesa ya huyu bi kizee........................

nisiwamalizie utamu wenye kuujua umombo someni kwa furaha na wale ambao hawaujui basi ridhikeni na hii dibaji yangu...............

Amorous granny with a love for young studs

baada ya kusoma hivi ukipata kizee au bibi au babu na ana mipesa ya kumwaga je utafukuzia ugali au utachunga heshima yako hata kama ni kulala na njaa?

hebu mnjibu nami nitaweelezea kilichoko moyoni mwangu kama ningelikuwa nimebanwa na huyu Bi kizee...........

Mkuu hapa mjini wapo ila wengi wao hawana mawe, Mie nashauri ukitokewa na ishu kama hiyo ww kimbia.
 
sipendi kuwa mchoyo wa elimu kwa hiyo acha niwapashe khabari kidogo..........lakini huyu bibi kule Kenya anapenda vijana wadogo wadogo wa kiume wampige mtama wa uhakika na huwalipa vizuri sana kama kazi yao imemridhisha na baadaye huwakinai na kuwatimua. Yupo tayari kufunga biashara zake akipata huduma stahiki...................na wakati mwingine huwafungia ndani waathrika wake kwa kipindi hivi akipata huduma ya uhakika...........................hata alisababisha kijana mmoja amkimbie mkewe kwa kuona mgawo wa mipesa ya huyu bi kizee........................

nisiwamalizie utamu wenye kuujua umombo someni kwa furaha na wale ambao hawaujui basi ridhikeni na hii dibaji yangu...............

Amorous granny with a love for young studs

baada ya kusoma hivi ukipata kizee au bibi au babu na ana mipesa ya kumwaga je utafukuzia ugali au utachunga heshima yako hata kama ni kulala na njaa?

hebu mnjibu nami nitaweelezea kilichoko moyoni mwangu kama ningelikuwa nimebanwa na huyu Bi kizee...........
Nadhani kunajinsi alitumia utaalamu wa ki-China sasa unamsumbua!

Mkuu wanasema hainaga {makombo} sasa ukiongezea na mshiko mitama atapigwa mingi!.
Acha utani hiyo ni kazi na inalipa mara mbili kwanini mtu usifanye? tena kwa kujituma sana tu.
 
Nadhani kunajinsi alitumia utaalamu wa ki-China sasa unamsumbua!

Mkuu wanasema hainaga {makombo} sasa ukiongezea na mshiko mitama atapigwa mingi!.
Acha utani hiyo ni kazi na inalipa mara mbili kwanini mtu usifanye? tena kwa kujituma sana tu.

Kyaiyembe tatizo ni siku atakapokumwaga hapo ndipo kilio na kusaga meno.............wanasema haachi kunogeewa lakini vilevile haachi kukinai..................yako mbaya hapo!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hapa mjini wapo ila wengi wao hawana mawe, Mie nashauri ukitokewa na ishu kama hiyo ww kimbia.

Biohazard huyo bibie ni balaa bora nusu ya shari kulikoni hili shari kamili...........
 
Last edited by a moderator:
Pamoja na kuwa na pepo wa ngono, katika umri kama huo mashine zao huwa kama za bikra! (usiniulize mambo ya utafiti!)

Sometimes, Sometimes.......niambie kuwa wewe mwenyewe ndiye source......................mvua kama zilikunyeshea lazima utazisifia tu.....lakini mie huo umri God forbids now and forever...............if you can do with her next time what is to stop you from banging your own mom?
 
Last edited by a moderator:
sio rahisi kufikishwa sababu hapendwi mtu pochi

Blaki Womani pengine ndiyo maana anwabadilisha mara kwa mara akitafuta wakumfikisha na hapatikani kwa sababu vijana wanafukuzia chapaaa na hawana muda wa kumburudisha Bi Kizee..........
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom