Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
- Thread starter
- #41
Sijui ndio ninazeeka na hizi lugha za siku hizi au vipi! Mimi ninafahamu kumpiga mtu mtama maana yake ni kumuangusha kwa kumtegua miguu na mara nyingi huambatana na ugomvi. Sasa kuiona inaambatana na ashki za huyo ajuza....imenichanganya.
:focus:Nahisi hakuna tatizo ikiwa tu tendo lenyewe ni la makubaliano. Wanaokwenda kwa mabadilishano ya huduma kwa pesa hawana sababu ya kulalamika pale bibi atakapokuwa hapati "ugoro wake" ipasavyo.
Yote 9, la 10 mimi kwa kutunza heshima yangu na maadili, po simo!
MAMMAMIA tafsiri yako ni sahihi lakinilugha ni matumizi yake na huweza kuunda tungo tata kama hii...wafikiri kazi ya kitandani ni lelemama....................ni ugomvi mkali hujitokeza kuonyeshana utaalamu na maufundi kibao.............hata kijasho kuwamiminika na wengineo hata kudai maji ya kunywa............
Last edited by a moderator: