ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,017
- 7,220
Jana usiku misa ya Pasaka ilikuwa inafanyika Tanga kitanda live on radio. Yule Askofu akasema katika mahubiri yake:watoto wengi wadogo wanatekwa lakini polisi hawatuelezi hatima yao.Tunaombwa tuelezwe isije ikawa kuna ajenda ya siri kuhusu hawa watoto.
Pasaka au Christmas?