Biashara ya Uchawi Tanzania

Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza

Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida

Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.

Hapo kwenye wateja umesahau wanasias
 
Muliken sehemu zote, cku hiz karibia watu wote kwny kila nyanja ni wachaw labda mtoto alyezaliwa leo
 
Jana usiku misa ya Pasaka ilikuwa inafanyika Tanga kitanda live on radio. Yule Askofu akasema katika mahubiri yake:watoto wengi wadogo wanatekwa lakini polisi hawatuelezi hatima yao.Tunaombwa tuelezwe isije ikawa kuna ajenda ya siri kuhusu hawa watoto.
 
Back
Top Bottom