Dah! Sumbawanga kwetu.
Mwaturi mkombe.
Mkuu katavi shwari
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza
Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida
Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera
Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
Mi Hao Wanafunzi Wa Kidato Cha Pili Ndo Umenipa Hofu,dadavua Kidogo.Viongozi ni wateja wazuri, lakini idadi yao siyo kubwa
nashukuru geita hatumo.inawezekana mauaji ya albino ni ukosefu wa elimu tu na sio uchawi
Nzega sio mkoa...bt Tabora imetajwa na mleta uzi