Biashara ya Uchawi Tanzania

Majimoto

Senior Member
Nov 22, 2007
138
143
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza

Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida

Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
 
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza

Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida

Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.

Mie nadhani viongozi either ni #1 au #2. Maana hao bila hilo ni hawashindi
 
Hivi uchawi ndio nini?
Au ni nadharia za chuki tu?
Mbona uchawi hautaji mafanikio kwa wema.
Nikutaja uchawi kwa chuki hata kama mtu amefanikiwa utasikia mchawi huyo!
Mara mwanga huyo!
Mshirikina huyo!
Kama mtu amefanikiwa tatizo liko wapi jaman?
Nipeni ufafanuzi mnanitisha saaaaanaaaa!!!
 
Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.
Iweje mikoa ambayo ndiyo maarufu kwa uchawi isiwe na wateja wengi wa uchawi? Au kila mtu katika mikoa hiyo ni gwiji la uchawi? Kilimanjaro na Kagera ni mikoa inayoaminika kuwa na watu ambao wamepevuka kidunia (wasomi). Na mtu msomi, kama ni msomi kweli, hawezi kuyapa kipaumbele mambo ya uchawi. Anatumia ubunifu, maarifa, bidii na uzoefu. By definition uchawi ni primitiveness. Tupe ushahidi wa uteja wa mikoa hiyo miwili.
 
Hivi uchawi ndio nini?
Au ni nadharia za chuki tu?
Mbona uchawi hautaji mafanikio kwa wema.
Nikutaja uchawi kwa chuki hata kama mtu amefanikiwa utasikia mchawi huyo!
Mara mwanga huyo!
Mshirikina huyo!
Kama mtu amefanikiwa tatizo liko wapi jaman?
Nipeni ufafanuzi mnanitisha saaaaanaaaa!!!

Ndevu mbili,
Siyo kweli kabisa kuwa kila mafanikio ya mtu husababishwa na uchawi, mafanikio ya mtu ni bidii yake mwenyewe, jinsi anavyojituma na kumtegemea Mwenyenzi Mungu. Hakuna tatizo lolote kuhusiana na mafanikio ya mtu.

Isipokuwa yapo mafanikio ya watu yenye utata, ambayo yanaambata na nguvu za shetani. Mkoa wa Lindi ambao ndio wa pili wenye wachawi wakubwa nchini, ukienda kwa hawa jamaa wanaojiita wataalamu, ni lazima utembee kwa miguu kwa siku tatu ndipo ufike walipo. Wao wanagawa utajiri, lakini masharti yao ni lazima uwape mke, mtoto au mzazi wako, au utakuta ndani ya familia hiyo kuna mtoto ambaye ni zezeta au taahira, na watoto wa namna hii ukiondoa nguvu ya uchawi uliwekwa ndani yao wanapona na wanakuwa sawasawa kabisa, kama watoto wengine.(Wapo watoto wanazaliwa na utaahira na wapo wanao pewa utaahira wa kupata mali unaosababishwa na wazazi au walezi wao hawa wa kundi la pili ndio ninawazungumzia)

Sasa hivi kidogo wamelegeza masharti, wao watakupa mali nyingi sana kwa mkataba wa miaka mitatu au mitano, muda huo ukifika ni lazima, ni lazima tu utakufa, warithi wa mali zako zenye mikataba ya kifo, nao wakimaliza miaka hiyo nao wanakufa.
 
Sasa hivi zipo shule kabisa za kufundisha uchawi nchini Tanzania, Shule moja ipo Temeke masomo yake huchukua miaka saba hadi unahitimu.

Ukimaliza Temeke, unaweza kujiunga na elimu ya juu katika fani ya uchawi, chuo kipo Tanga hapo wanatoa digrii ya kwanza ya uchawi kwa miaka mitano.

Wanatoa pia digrii ya pili ya elimu ya ulozi ambapo utakaa darasani kwa miaka mingine mitano.

Master digrii ya ulozi, bado hapa nchini hakuna chuo, inapidi uende Mombasa nchini Kenya ndipo kilipo chuo kikuu cha elimu ya ulozi.
 
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza

Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida

Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.



Nilikuwa natafuta Mkoa wa IRINGA kule ambako kaburi halihamishiki sijauona.
 
Ndevu mbili,
Siyo kweli kabisa kuwa kila mafanikio ya mtu husababishwa na uchawi, mafanikio ya mtu ni bidii yake mwenyewe, jinsi anavyojituma na kumtegemea Mwenyenzi Mungu. Hakuna tatizo lolote kuhusiana na mafanikio ya mtu.

Isipokuwa yapo mafanikio ya watu yenye utata, ambayo yanaambata na nguvu za shetani. Mkoa wa Lindi ambao ndio wa pili wenye wachawi wakubwa nchini, ukienda kwa hawa jamaa wanaojiita wataalamu, ni lazima utembee kwa miguu kwa siku tatu ndipo ufike walipo. Wao wanagawa utajiri, lakini masharti yao ni lazima uwape mke, mtoto au mzazi wako, au utakuta ndani ya familia hiyo kuna mtoto ambaye ni zezeta au taahira, na watoto wa namna hii ukiondoa nguvu ya uchawi uliwekwa ndani yao wanapona na wanakuwa sawasawa kabisa, kama watoto wengine.(Wapo watoto wanazaliwa na utaahira na wapo wanao pewa utaahira wa kupata mali unaosababishwa na wazazi au walezi wao hawa wa kundi la pili ndio ninawazungumzia)

Sasa hivi kidogo wamelegeza masharti, wao watakupa mali nyingi sana kwa mkataba wa miaka mitatu au mitano, muda huo ukifika ni lazima, ni lazima tu utakufa, warithi wa mali zako zenye mikataba ya kifo, nao wakimaliza miaka hiyo nao wanakufa.
Uchawi ndio sijajibiwa ni nini?
Hata hivyo hizo juhudi na maarifa inaweza kua ndio uchawi wenyewe.
Sijui unakusudiwa ugagula ndio hayo?
ikijulikana maana ya uchawi ni rahisi kueleweka!
 
Back
Top Bottom