Biashara ya Uchawi Tanzania

Nkweli lakin mkae mkijua yakwamba sehemu yenye mkusanyiko wa watu na makabila mbalimbalu lazima kuwe na ushirikina I'll ninaamini Mimi na pia co rahisi MTU akuwangie pasipo kukufaham
 
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza

Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida

Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.

Lindi ndo kiboko ya reli hao wengine unawasingia tu kamanda lindi kila nyumba kuna ndondocha mmoja ambayr wameshamloga watu wa huku wanaendekeza uchawi balaa ndo mana hawajaendelea ila mie nawapaga live tu
 
Kwa kawaida nyama ya binadamu siyo rahisi sana kuliwa na mtu yeyote bila sababu, kwenye ulimwengu usioonekana wachawi wanazo bucha zao wanauziana wao kwa wao nyama za binadamu kwa kutumia pesa za kuzimu, pesa za kuzimu ni tofauti kabisa na pesa tunazotumia. Mathalani bei ya maini ya binadamu kwa sasa wanauziana kwa pesa 3,000.00

Karibu vyakula vyote na maji yanayouzwa mitaani au kando ya barabara siyo halisi. Epuka kufanya manunuzi ya chakula kinachotembezwa mitaani kikiwa ndani ya ndoo. Wengi wamekuwa wakidhani wanauziwa wali, lakini mingi siyo wali kwa asilimia zote. Pia epuka kununua vitambaa vya mkononi vinavyouzwa kando kando ya barabara.

Kama kuna kitu kinaumiza watu wengi hasa wasichana na akina mama ni manunuzi ya hereni, bangili, shanga na pete zinatotembezwa mitaani. Nyuma ya vitu hivyo vingi vimebemba roho za mauti.

Kwa ufupi usinunue chakula, maji au mapambo kwa mtu asiyekuwa na makao, kwa maana kwamba hana eneo lake la kufanyia biashara ni mtu wa kuhama eneo moja kwenda eneo lingine na eneo alilofanyia mauzo ya bidhaa zake za mauzauza hutoweka kwa muda hata mwezi au zaidi bila ya kurudi eneo hilo tena.


Exchange rate yake na TZS ni ngapi?
 
Naomba kuuliza nimesoma sana hadithi zinao husian na vampire. Hivi vampire nikweli wapo? Au ni hadidhi tuu. Pleas naomben jib
 
Naomba kuuliza nimesoma sana hadithi zinao husian na vampire. Hivi vampire nikweli wapo? Au ni hadidhi tuu. Pleas naomben jib

Vampire sio binadamu, Ni aina fulani hivi ya popo, popo hawa hunyonya damu ya wanyama mbali mbali. Fuatilia natgeo wild utaona.
 
Uchawi ndio sijajibiwa ni nini?
Hata hivyo hizo juhudi na maarifa inaweza kua ndio uchawi wenyewe.
Sijui unakusudiwa ugagula ndio hayo?
ikijulikana maana ya uchawi ni rahisi kueleweka!

Wewe ni mchawi nin? Maana mtu akiwa wa dizaini hiyo huwa hataki hata kusikia hilo neno mchawi! Atajibalaguza kama vile hajui hiyo issue!
 
Wewe ni mchawi nin? Maana mtu akiwa wa dizaini hiyo huwa hataki hata kusikia hilo neno mchawi! Atajibalaguza kama vile hajui hiyo issue!

Na ndo tabia za wachawi wengi hawapendi kuzungumzia kabisa uchawi au wanakana haupo.
 
Mikoa saba nchini Tanzania ndiyo tishio kwa kuwa na nguvu kubwa za uchawi
1. Tanga ndio kinara
2. Lindi unafuatilia
3. Dar es Salaam
4. Mtwara
5. Tabora
6. Kigoma
7. Mwanza

Mikoa yenye wachawi wengi, kwa maana kwamba karibu kila kaya kuna mchawi
1. Sumbawanga (Rukwa) ndio kinara
2. Ruvuma inafuatialia
3. Mbeya
4. Singida

Mikoa ambayo wananchi wake ndio wateja wakuu wa wachawi
1. Kilimanjaro inaongoza
2. Morogoro inafuatilia
3. Kagera

Wateja wengine wa wachawi
1. Wafanyabiashara
2. Wasanii
3. Kina mama wa nyumbani
4. Wanafunzi wa shule za sekondari hasa wa kidato cha pili.

IPO njia rahisi ya kuwasiliana NA hawamajini. kwa mtu asiye NA kiasili ya uarabuni?
 
sasa hivi zipo shule kabisa za kufundisha uchawi nchini tanzania, shule moja ipo temeke masomo yake huchukua miaka saba hadi unahitimu.

Ukimaliza temeke, unaweza kujiunga na elimu ya juu katika fani ya uchawi, chuo kipo tanga hapo wanatoa digrii ya kwanza ya uchawi kwa miaka mitano.

Wanatoa pia digrii ya pili ya elimu ya ulozi ambapo utakaa darasani kwa miaka mingine mitano.

Master digrii ya ulozi, bado hapa nchini hakuna chuo, inapidi uende mombasa nchini kenya ndipo kilipo chuo kikuu cha elimu ya ulozi.

nikitaka kwenda kusomea nifanyeje
 
Back
Top Bottom