Gavinci
Member
- Mar 12, 2021
- 31
- 21
Hivi ukiwa laki 5 unaweza ianzisha mkuuBiashara hazijawahi kuisha chini ya jua ni vile tu unavyoamua kuchukulia mambo na kujichukulia wewe upo vipi,leo nataka nimsaidie mtu mmoja mahali flani kuichambua hii biashara ili kama alikua akiwaza nini chakufanya na hapati apate pakuanzia,na kwa wanaoifanya basi waboreshe ili mwisho wa siku urudi nyumbani ukiona mafanikio ya kazi ya mikono yako.