chaUkucha
JF-Expert Member
- May 28, 2012
- 3,382
- 1,208
Mwenye kuelewa jinsi ya kufanya mchakato wa kuanzisha hii biashara anitoe ujinga...
Nina computer sita, printer and location nimepata.
kuna uzi niliuweka humu jaribu kupekenyua unaeleza mchakato wa namna biashara hii inavyoweza kufanyika nashindwa kuweka link kwavile natumia simu