kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
Wadau wenye kufahamu.
Je katika kuanzisha Fuel filling station kubwa maeneo ya mjini kama Dar es salaam, Je kuna kigezo cha umbali kati kituo kimoja cha mafuta kwenda kingine vilivyo upande mmoja wa barabara.Kama kipo ni umbali gani?
Hapa namaanisha kama kama kuna hiki kigezo kipya maana siku za nyuma hakikuwepo
Je katika kuanzisha Fuel filling station kubwa maeneo ya mjini kama Dar es salaam, Je kuna kigezo cha umbali kati kituo kimoja cha mafuta kwenda kingine vilivyo upande mmoja wa barabara.Kama kipo ni umbali gani?
Hapa namaanisha kama kama kuna hiki kigezo kipya maana siku za nyuma hakikuwepo