Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
Preta,........
Sijui nitafanyaje...... Ila najua sitofanya vurugu hapo saluni kwa wakati huo..... But
1. nikienda nyumbani, nikakaa kimya ili nipange mpangomkakati, huyo mume ajiandae vita, heri ahame mji temporaly, au aishi kama digidigi maana akili zangu nazijua mwenyewe....
2. Kama nirudi home nikashusha vatangati siku hiyo hiyo basi nitalidili nae ado ado........
Ila huyo mwanamke kwa sababu nitaamini amefanya hivyo makusudi, hakuna mwizi asiyemjua anayemwibia....... Nae nitamtafutia dawa takatifu......
Nakubaliana na wewe kwani kwa kufanya kitu kama hicho mbele yako, huyo mwizi wako lazima atakuwa ameamua kutangaza vita!! Liwalo na liwe....!!
Babu DC!!!