data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,151
- 22,726
sorry kwa kuchangia
but hii ndo hasara ya 'kuopoa mashangingi'
loud speaker si mambo ya shule hayo?
watu wazima na loud speaker?....
sometimes 1st comment would corrupt others......
sorry kwa kuchangia
but hii ndo hasara ya 'kuopoa mashangingi'
loud speaker si mambo ya shule hayo?
watu wazima na loud speaker?....
Ndo maana mie naopoa machangu, huwa hawana wivu, hawaulizi jina wala namba ya simu, unapatana nao bei unakula mzigo kisha unatambaa..... Sasa shida yote hiyo ya nini kutembea na mashangingi wa mtaa.....!
Upo Salon, mumeo anajadiliwa na wasichana waliopo hapo Salon... Hawajui kama wewe ndo mkewe...
Mmoja wao anatembea nae... full vicheko, full kumpigia simu na kuweka loud speaker. Unamsikia mumeo anajiachia tu... Hajui kama kawekwa kwenye loud speaker... Wanakata simu wanacheka mbaya! Mbaya zaidi, wanasema jamaa anamponda mke wake ile mbaya, wanataja na mapungufu yako ambayo kwa asilimia kubwa ni ya kweli....
Je..? Utafanya nini kama ni wewe...?
hao wanawake wanajua vema kabisa mke yuko na ndo mana wanaweka loud ili usikie ikiuume!wewe unatakiwa umalizie ulichokuwa unafanya,tena ndo wakurembe haswaa,na sanasana unamtaka huyo anayekula nawe akupe huduma,na wewe unajifanya unampigia simu mtu unamwambia kwa nguvu kuwa unampongeza kwa kutengenezwa na mwizi wa mume wake,ambae mwizi mwenyewe anajiona mjanja kumbe hana lolote,tena na wewe unacheka kwa kwenda mbele,na unahakikisha unamchana indirect taratiiibu,na mwishoni unajifanya unamwambia mtu kuwa nampa pole huyo mwizi wa mume wako maana wewe ulishatengana na mumeo miaka kadhaa kisa mume kaathirika!ukitoka hapo wala humuulzi mume wako ila unatafuta line mpya unamwambia mumeo jinsi alivyonanga mkewe akawekwa loud!MWISHO WA MCHEZO!yale mapungufu kama yanarekebishika unajirekebisha!maisha yanaendelea.
Dawa yake huyo unampigia hubby unamwambia gari (kama una lako) imegoma kuwaka aje akuchukue. Afu akifika unamlazimiasha aingie ndani afu unampa tongue kiss ndeeeefu. Kisha mnatoka. Afu mkifika home ndo atajuta kukufahamu. Ile kiss ni action tu kuwa you can have him wherever, and whenever you want.
lol, halafu unaendelea nae?
Si ndo ataongeza ukicheche?
unadhani ukimwita atakuja?wakati anajua hapo saloon ana kimada?hawa wajamaa wana machale kama makomando,sio rahisi aje atakwambia chukua tax,au yuko radhi ajifanye yuko mbali atafute mtu aje akusaidie!
I guess so many relationships blatantly fail to hype as fairness doesn't seem to exist let alone be applied.
Kudos to you if at all this is your principle!
nyie ndo mnaokewa mitego na kunasa kirahisi
ni nadra sana kwa mashangingi ya mjini watembee na mtu wasimjue mkewe
inawezekana hiyo ni set up.....ili uvunje ndoa wajisogeze....
Samahani Preta ngoja tuchangie tu japo tuna ndevu..
Dawa ya moto ni maji..na wewe utakachofanya ni kumwaga mboga manake ugali ushamwagika.
Unaweza mtia kiwewe mnayechangia mume kwa kumuambia kuwa wewe ni mkewe na mmeathirika..
Kama vipi unaichukua namba na kumpigia na unamuweka live..
Tatizo nyie wanawake hampendani..japo i believe wapo miongoni mwao watakaokuonea imani tu!!
Unatafuta uongo wewe ...atakuja tu. Hata ikibidi kudanganya unamwambia huwezi kutembea unahisi umepata stroke...atakuja tu.
Inategemea lakini mnaishije...mi wangu najua namna ya kumfanya aje.
yaani Preta mimi nijijuavyo kwanza nngekuwa msikivu kweli, kisha nichukue hatua simsemeshi kumuliza la heri wala la shari. siku nikitaka anchomekea kitu ambacho nilikiskia na ambach najua kwamba akijua nakijua ataumia nakichomeka.
yaan ktk okosa ambalo ninsingefanya ni kuondoka ama kuanzisha tifu.
..alipomaliza akashuka kuendelea na kucheza bwana sijui ilikuwaje akadindisha lol binti kuona hivyo akamwambia mumewe huyu dada naskia anaumwa ukimwi so uwe makini usimsogelee bwana kuskia hvyo akaanza kaumaponda huyo aisha. yaani nilicheka sana siku nasimuliwa manake ni kama vile bwana alitaka ila sasa ukimwi ndo umemzibia.
nyumba kubwa, hii akili yangu ya WANZUKI wakati mwingine haijatulia......Kuna mtu ameiba ID yako au ni wewe. Lol.
Hivi mnataka niamini kuwa wanaume wote ni cheaters? Hata wewe. Hapana.
Mimi JF imenikomaza na kutaka niwe nakubali matokeo wakati mi ni mbishi kweli kweli,
You've taken words out of my mouth. Hivi kuna kimada hamjuhi mother house?
Hao walitaka kumrusha roho nyumba kubwa tu; wanamjua vizuri.
Nyumba kubwa ni ngumu kuijua nyumba ndogo lakini nyumba ndogo haiwezi kutulia mpaka imjue mpinzani wake.
Hii ni kama formular.