Bi dada... Utafanya nini? Mmeo anatembea na binti wa Salon...!

Hata kama siyo siku hiyo hiyo, huyo dawa yake ni show tu. Si anajifanya kunirusha roho...mimi sasa yake sirushi naipaisha.

Mi ndio maana nasisitiza wamama kwenye ndoa muwe mnawapeti waume zenu adharani ili vibwengo na visebengo roho iwaume. Kama ni mashindano tulishashinda long time kitambo kwa kutangazwa mbele ya Mungu na kadamnasi kuwa ni wamiliki halali. Sasa kwa nini mtu usionyeshe show; kama wapo waumie roho...nimekumbuka taharabu ya Mzee Yusufu.
mimi kwenye KP niliambiwa mambo ya chumbani yabaki huko, mambo ya kuyaweka hadharani tena siyo kwa kutaka ila kwa kuwarusha watu roho siwezi
 
Mi mwenzenu sina busara kabisa...uwa kinanuka kote kote. Najua inaweza isiwe right; lakini hiyo ndo personality yangu. Labda ni utoto nikikua ntaacha. Lol
umewahi sikia tabia haina dawa? yaani hata ukiwa na miaka 100 utaendelea tu maana ndo umezoea. kama inakulipa endelea. ila mimi sipati picha eti nagombana na mtu mtaani kwa ajili ya mume wangu! hainiingii kichwani kabisa
 
Akili za KP changanya na zako.

Ndio maana watu wakiona mwanaume hata kama amemuegemea mwanamke bar basi wana conclude ni kimada...maana ma mother houses ni very rare kupata hiyo bahati.

Sasa na wewe unakubali ku act kama dada yake kwenye kadamnasi wakati small house anajiachia tu???

mimi kwenye KP niliambiwa mambo ya chumbani yabaki huko, mambo ya kuyaweka hadharani tena siyo kwa kutaka ila kwa kuwarusha watu roho siwezi
 
Mi ni wale wanawake ambao mume anaweza akawapa tahadhari vimada wake kuwa "mke wangu mkali"
Na kwa uzoefu wangu wale wenye jeuri ya kulianzisha ndani hawaishii ndani tu. Na wale wanaosema sigombani na third party wengi hata kwa waume zao sana sana wanaishia kulia au kutumia ukimya kama silaha.

Ukichaa unalipa wewe.

I have seen my mum alivyokuwa anajiliza tu na hagombani na mtu na wala haikumsaidia zaidi ya kumfanya baba awe sugu.

umewahi sikia tabia haina dawa? yaani hata ukiwa na miaka 100 utaendelea tu maana ndo umezoea. kama inakulipa endelea. ila mimi sipati picha eti nagombana na mtu mtaani kwa ajili ya mume wangu! hainiingii kichwani kabisa
 
Akili za KP changanya na zako.

Ndio maana watu wakiona mwanaume hata kama amemuegemea mwanamke bar basi wana conclude ni kimada...maana ma mother houses ni very rare kupata hiyo bahati.

Sasa na wewe unakubali ku act kama dada yake kwenye kadamnasi wakati small house anajiachia tu???
huko mtaani zaidi ya kuangaliana kiaina na kushikana mikono tukiwa matembezini na kukimbizana hakuna la ziada. siwezi eti kumkiss vya chumbani ili watu waone............. yule ni mume wangu na kuna heshima mbele za watu. ni kweli watu wakiona watu wanakiss barabarani lazima wajue ni kimada, kama mkeo hamuwezi kufanya hivyo, pamoja na kila kitu kuna element za heshima
 
Mi ni wale wanawake ambao mume anaweza akawapa tahadhari vimada wake kuwa "mke wangu mkali"
Na kwa uzoefu wangu wale wenye jeuri ya kulianzisha ndani hawaishii ndani tu. Na wale wanaosema sigombani na third party wengi hata kwa waume zao sana sana wanaishia kulia au kutumia ukimya kama silaha.

Ukichaa unalipa wewe.

I have seen my mum alivyokuwa anajiliza tu na hagombani na mtu na wala haikumsaidia zaidi ya kumfanya baba awe sugu.
mimi mume wangu anajua kabisa akilikoroga moto utamuwakia, hili ndo nalitaka mimi, aache kukimbizana na vibwengo huko maana anajua nikijua moto utamwakia, siyo afanye akijua kabisa moto utawaka upande wa pili.
afterall utakapoenda kugombana nje, hamtakuwa wawili, kuna washangiliaji na kadhalika..... yaani mimi naona ni kujishushia heshima yangu na ya mume wangu, labda kama nina mpango wa kuondoka kwenye hiyo ndoa...... lakini kama bado nipo, mi kwangu naamini the best way ni kumalizana wawili na maisha yaendelee
 
Well hiyo ni case by case. Na kuna mengi yanachangia. Tofauti ya umri; umri wenu wote wawili...etc. But mimi napenda na navutiwa pia na wanandoa wasioona haya ku show affection adharani.

Mabo ya rum ni love making...mengine yalobaki hamna tabu kufanya adharani...mtapigwa?

huko mtaani zaidi ya kuangaliana kiaina na kushikana mikono tukiwa matembezini na kukimbizana hakuna la ziada. siwezi eti kumkiss vya chumbani ili watu waone............. yule ni mume wangu na kuna heshima mbele za watu. ni kweli watu wakiona watu wanakiss barabarani lazima wajue ni kimada, kama mkeo hamuwezi kufanya hivyo, pamoja na kila kitu kuna element za heshima
 
That is Clue namba 1. Ukimbana kwa hilo atakana 100%
Sasa ifanyie kazi uwakute red handed then decide what to do.
 
Unadhani kulianzisha ni lazima ufunge kibwebwe na kuanza kupigana mtaani kama wafanyavyo wamama wa uswahilini?

Afu kuhusu heshima...kuna heshima gani kwa mtu ambaye anakubonda kwa small house?; kuna heshima gani na ukipita mtaani watu wana kung'ong'a? Hakuna heshima yeyote ni undava undava...na haondoki mtu...kama kuondoka unaondoka kwa convenience yako.

Mwanaume akishaanza kuchukua machangu hakuna heshima ni ugumu tu na kuvaa mask usoni.


mimi mume wangu anajua kabisa akilikoroga moto utamuwakia, hili ndo nalitaka mimi, aache kukimbizana na vibwengo huko maana anajua nikijua moto utamwakia, siyo afanye akijua kabisa moto utawaka upande wa pili.
afterall utakapoenda kugombana nje, hamtakuwa wawili, kuna washangiliaji na kadhalika..... yaani mimi naona ni kujishushia heshima yangu na ya mume wangu, labda kama nina mpango wa kuondoka kwenye hiyo ndoa...... lakini kama bado nipo, mi kwangu naamini the best way ni kumalizana wawili na maisha yaendelee
 
......kwakuwa mke amethibitisha sauti, maneno na ukweli uliodhahiri
Anavyoaibishwa na mumewe, hana budi kuita "wazee wa busara" kulizungumza
Hili mbele ya mumewe. Huyo mume amechemka mbaya.
 
nyumba kubwa umenikumbusha story ya rafki yake na dadangu, ye alikuwa ngumi mkononi. akisikia kuna mdada katoka na mumewe anafatilia kimya kimya mpaka awe na ushahidi wa kutosha. mwisho wa siku anajembeza kipigo. yan alikuwa anawapiga c kitoto tena anawaalika rafiki zake kwenda kumpiga huyo mwizi. . . . lakin cku hizi ashakuwa mmama wala hana hizo habari. dah,enzi zake alipokuwa mdada we hakuna mtu alimchukua mumewe!
 
Last edited by a moderator:
Upo Salon, mumeo anajadiliwa na wasichana waliopo hapo Salon... Hawajui kama wewe ndo mkewe...

Mmoja wao anatembea nae... full vicheko, full kumpigia simu na kuweka loud speaker. Unamsikia mumeo anajiachia tu... Hajui kama kawekwa kwenye loud speaker... Wanakata simu wanacheka mbaya! Mbaya zaidi, wanasema jamaa anamponda mke wake ile mbaya, wanataja na mapungufu yako ambayo kwa asilimia kubwa ni ya kweli....

Je..? Utafanya nini kama ni wewe...?

silent is a very good tool kama ni mimi simwulizi wala nini ujue mwanaume kama amefanya kosa na akajua mkewe anazo habari afu hajamwuliza dah ina muumiza sana ataanza kujiuliza mbona mke wangu haniulizi kitu wakati hizi habari anazo , ntachuna tu ila akitaka nanliu namwambia avae nanhii soksi kwanza , nadhani hii itakuwa message sent
 
Nahama saloon naendelea kumpenda mme wangu tunalea watoto! Wanaume tabu kuwapata bwana, Unataka nimuache?

Upo Salon, mumeo anajadiliwa na wasichana waliopo hapo Salon... Hawajui kama wewe ndo mkewe...

Mmoja wao anatembea nae... full vicheko, full kumpigia simu na kuweka loud speaker. Unamsikia mumeo anajiachia tu... Hajui kama kawekwa kwenye loud speaker... Wanakata simu wanacheka mbaya! Mbaya zaidi, wanasema jamaa anamponda mke wake ile mbaya, wanataja na mapungufu yako ambayo kwa asilimia kubwa ni ya kweli....

Je..? Utafanya nini kama ni wewe...?

 
Hii mada nzima.... Michango na misimamo ya wachangiaji inaonesha dhahiri ni namna gani mwanamke akiwa lege lege ndoa yake kuvunjika ni mara moja. Haya ni mambo yakusikia tu na kusoma jamvini lakini sio kukukuta. Sad.
 
nakubaliana nawe nyumba kubwa, kuna faida gani kung'ang'ania heshima ilhali ushavuliwa nguo?




Unadhani kulianzisha ni lazima ufunge kibwebwe na kuanza kupigana mtaani kama wafanyavyo wamama wa uswahilini?

Afu kuhusu heshima...kuna heshima gani kwa mtu ambaye anakubonda kwa small house?; kuna heshima gani na ukipita mtaani watu wana kung'ong'a? Hakuna heshima yeyote ni undava undava...na haondoki mtu...kama kuondoka unaondoka kwa convenience yako.

Mwanaume akishaanza kuchukua machangu hakuna heshima ni ugumu tu na kuvaa mask usoni.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom