Mwanaukweli
JF-Expert Member
- May 18, 2007
- 4,786
- 1,710
Kuna mchezo uitwao POWER CLUB (eti wa kutajirishana) unazunguka hapa Tanzania. Mchezo wenyewe unatoka Ulaya, na bahati mbaya kanisa moja hapa Tanzania limejitokeza na kujipa uajenti wa kuendesha mchezo huo.
Watanzania tumekuwa tunapenda vya mkato: kughushi vyeti, kuiba mitihani, kutajirika kwa ufisadi, n.k. na kwa hiyo matapeli wa nje wanatuona ndio wa kuliwa. Nimefanya utafiti wangu katika internet na kupata yanayoweza kutuangalisha. Fungua hapa.
Ni wakati tuanze kukubali kuwa hakuna mafanikio bila jasho. Tuchape kazi, tutafute elimu kwa bidii, na mafanikio yatakuja. Pia tujiepushe na matapeli
Watanzania tumekuwa tunapenda vya mkato: kughushi vyeti, kuiba mitihani, kutajirika kwa ufisadi, n.k. na kwa hiyo matapeli wa nje wanatuona ndio wa kuliwa. Nimefanya utafiti wangu katika internet na kupata yanayoweza kutuangalisha. Fungua hapa.
Ni wakati tuanze kukubali kuwa hakuna mafanikio bila jasho. Tuchape kazi, tutafute elimu kwa bidii, na mafanikio yatakuja. Pia tujiepushe na matapeli
Last edited: