Amavubi
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 30,146
- 13,216
Jamani habari ya kutoka Mbeya leo muihakiki mara mbili maana blog moja imetaarifu kwamba waandishi wa huko wamepigwa maji ya mende leo na TBL..............HAPA NI WAKATI WANAANZA TU...na unaweza kuona katika hali ya kawaida mtu hawezi kuwa na glass zaidi ya moja mbele yake.........ikiashiria dalili za network ya Muumba kutoweka na kusheheni ya TBL.............