Bernard Membe: Nina maadui 11, ikifika 2016 watakimbilia Kenya!

uhuni mwingi uongozi usiotukuka yeye anasema ana maadili... ATUELEZE JISI WALIVOGAWANA PESA ZA LIBYA na wenzake kiushikaji alafu anasema eti yeye ni msafi??? anatuleta picha gani kwa sisi tunaomjua nje ndani?? anawadanganya watanzania ambao awajui lolote? kuhusu ili faiza foxy njo umtetee bosi wako
 
Badala ya kuunganisha watu anawatengamisha na kuwatisha. Urais ni kama baba ndani ya nyumba huwezi kuongoza kwa vitisho na visasi
 
Usikute hao waandishi wawili aliowataja kwa sasa wanampigia debe. Siasa acha bwana. Acha kabisa.
 
Vilaza siku zote wanawaza maadui wao kama watu.

Vipanga siku zote wanawaza maadui zao kama ideas.

Ndiyo maana ukimsikia mtu kama Nyerere akiongelea maadui anaongelea umaskini, magonjwa na ujinga. Wengine wanakwambia maadui watakimbilia Kenya.

Kama huu ndio uongozi wenyewe, basi tunarudi nyuma.
Kiranga, I never read this post timely, but probably this is one of the best posts at JF ever!
 
Last edited by a moderator:
Katika kipindi cha Dakika 45 ITV Mh Membe anaonekana kuongea kwa hisia na uwazi sana kuhusu maisha yake ya kisiasa pamoja na mvutano uliopo kati yake na mahasimu wake.

Anasema iko siku atawataja peupe kwa majina na sura zao. Nauona undani wa Membe hapa.

He seems to be innocent amidst wolves. Tuombe siku ifike na yeye afunguke.




Huyo anakudanganya,sisi si watoto kiongozi anayesubiri kuwataja wezi hao hadi kwanza awe kiongozi ni muongo.

Kama kweli analengo hilo ameshindwaje kuwataja hapo Mwanzo hadi asubiri kushinda?, Huyu hana tofauti na kinana
 
Back
Top Bottom