Dr Friend
Member
- Sep 20, 2023
- 36
- 40
Johannesburg Ni miongoni mwa majiji hatari duniani, inashika nafasi ya 5
Ndugu yangu aliwahi kunusulika mara 3 kupigwa risasi, aliwahi sema hatowaza au kutamani kuishi south africa pamoja na kuwa alikuwa na ajira ya kulipwa pesa nyingi yupo TZ na anaendele vizuri na maisha yake😔
Pole sana kwa kikosi cha kaizer 🙏
RIP mwamba 🕯
Ndugu yangu aliwahi kunusulika mara 3 kupigwa risasi, aliwahi sema hatowaza au kutamani kuishi south africa pamoja na kuwa alikuwa na ajira ya kulipwa pesa nyingi yupo TZ na anaendele vizuri na maisha yake😔
Pole sana kwa kikosi cha kaizer 🙏
RIP mwamba 🕯