Habari wana Jf nimetokea kuipenda simu hii ya Nokia Lumia 800 sijui hapa Tz yetu hususan dar nitapata kwa shilling ngapi?
Msinunue Lumia zente jina linaloishia na 00 yaani 700, 600,800,900. Hizi zinatumia Windows Phone 7.x ambayo haina support ya USSD menu, ile system ya m-pesa na menu kama za voda za huduma kwa ujumla. Nunueni zinazoishia na 20 kama 820,720 , 920 hizi zinatumia Windows Phone 8 ambayo ina full support ya USSD. WP7 haziwezi kuwa updated kutumia WP8.