Beautiful white City

hata me nakuunga mkono, ningekuwa naishi hapo nahic uvivu wa kuoga ungenizidia

hyahahahahahah lohhhh
wewe wataka kuniambia sasa hivi we ni
mvivu wa kuoga mmhh naungekuwa unaishi
sehemu hizo za winter ndo kwanza bafu hukanyagi looohh
 
unantisha kupenda majotro ya dar. Mmh! Joto la dar natamanigi nitembee na vipande vya barafu kwapani.
..

mmmhhhh mie nalizimia hilo joto ile mbaya
natamani kuli bbea kila mabahaliii..tu u

nadhani ni sababu unaoga mara nyingi na
unavaa vimini vyako, vest bikini muda wowote
teh teh teh teh teh teh

umenichekesha kwa kweli eti barafu kwapani dahhh
 
hako kawinter kametulia, ila baridi iloyo A city sasa hv,kungekuwa na winter namna hiyo ungekuta nshatafuta wife.
 
hako kawinter kametulia, ila baridi iloyo A city sasa hv,kungekuwa na winter namna hiyo ungekuta nshatafuta wife.
HahahahaKazi kweli kweli..Itabidi nianze kufunga ajili Ya winter hapo A city lolz
 
Kila sehemu ina raha yake dear Binafsi napenda sana joto la Dar.. :)

maeneo haya ya aiskilimu nyingi hivi, sikai hata kama sintaruhusiwa kutoka nje ya nyumba yenye heater, kwetu tumebarikiwa sana, japokua kuna joto, huwa siumwi ila kila winter lazima niumwe mara kadhaa, baridi si mchezo, na usijidangaye uendeshe hata baiskeli bila gloves, unaweza kuiacha huko huko nje teh teh
 
maeneo haya ya aiskilimu nyingi hivi, sikai hata kama sintaruhusiwa kutoka nje ya nyumba yenye heater, kwetu tumebarikiwa sana, japokua kuna joto, huwa siumwi ila kila winter lazima niumwe mara kadhaa, baridi si mchezo, na usijidangaye uendeshe hata baiskeli bila gloves, unaweza kuiacha huko huko nje teh teh

aah, aah, yaani hayo magloves mi yananikera kutembea nayo! halafu kuna maskaff mazito mazito, ma-underwear kama vile wanaita "vinyelamumo", majeans mazitomazito, makofia, makoti marefu mazitomazito tena yenye kofia, aagh, mtu unakuwa mzitooooo utadhani umevaa magwanda yenye mabomu!

God deserves all Glory and Honor!

i like dar!
 
haha, naona wafagilia sana winter .............. mi siiogopi wala nini, tena nina kanuni kuwa hata iwe kali kiasi gani lazima nitoke nje na nizurure kidogo nje!!............... kuna watu hawatoki nje hata kwa wiki kadhaa hata msosi hupiga simu wanaletewa............ na shopping ya mambo mengine wanafanya kwenye net na wanaletewa na courier hadi mlangoni......... haha, yaani kuna watu wanaogopa hiyo kitu ni balaa............

ila hapo kwenye bold naona umenishika pabaya............. teh teh............... umegunduaje?.............. au sheikh wa mwembechai alikuachia mikoba??................ teh teh.................

post zako zimenichekesha unavyofagilia summer na makandokando yake, lakini kwa kweli uvaaji wa wakati huo huko kwa wenzetu, mmmh! huku kwetu japo mabinti tunalaumiwa tunavaa vibaya, kwa kweli hata robo ya huko majuu hatujafika.

enjoy your life there, but angalia usijepofuka macho!! tehe teh
 
post zako zimenichekesha unavyofagilia summer na makandokando yake, lakini kwa kweli uvaaji wa wakati huo huko kwa wenzetu, mmmh! huku kwetu japo mabinti tunalaumiwa tunavaa vibaya, kwa kweli hata robo ya huko majuu hatujafika.

enjoy your life there, but angalia usijepofuka macho!! tehe teh

du! ........................kama ingekuwa kweli hayo macho mbena ngeshapofuka zamani??................. teh teh....................
 
sisi mbona tunayo m1 inaitwa mt. Kilimanjaro.
:A S 103:

yap, kilimamnjaro is the only natural snow in africa and in te tropical zone which covers the tops of mawenzi and kibo throughout the year!

its one of the wonders of the world and the pride of tanzania!

i love tz,

Glory to God!
 
yap, kilimamnjaro is the only natural snow in africa and in te tropical zone which covers the tops of mawenzi and kibo throughout the year!

its one of the wonders of the world and the pride of tanzania!

i love tz,

Glory to God!

good point.................. ngoja nitaifanyia kazi hii...............
 
haha, ila nimekumbuka kitu kimoja, kuna eneo tuliulizwa kwenu kuna barafu? maana winter inakuja na huwa panasnow, hivyo jiandaeni na mavazi ya baridi, kuna mtu alisema hata kwetu ipo, tena kwenye FRIDGE, teh teh
 
AICHIKILIMU SA

All pics courtesy of News24
68e16c2576974096b6bcb6f1f718e0bb.jpg

Harsh weather conditions near Nottingham Road in KwaZulu-Natal has caused havoc leaving several of the routes closed to traffic due to snow. (Netcare 911, Sapa)
c813e8f347a6496e94a950658b43bd93.jpg

The N3 highway at Van Reenen's Pass between the Free State and KwaZulu-Natal remains closed as a result of heavy snowfalls. (Netcare 911, Sapa)
f6322ac1f4d74892852c498f9e2b633d.jpg

8df01d3d593d48aea918dcb9d148d9a4.jpg

News24 User Janse Van Rensburg sent these photos from Volksrust. Volksrust is a town in the Mpumalanga province of South Africa on the KwaZulu-Natal provincial border.
af31229aece34835941bc57a01d41d6c.jpg

13f4518943664d4596dc5f08729f845d.jpg

cfc7a866e16c44278890032aaa4bfc38.jpg

75b4d8e5a4a44ba6a67da4ae0738ea75.jpg


9c6d63767b3d450ba9f729043ee9b253.jpg

d7a3c251fc1241a29e2e59d8e1917895.jpg

e297adc220a646a094e59a71e320dde6.jpg

c2707adffa8843a4b6bb506ced3312e4.jpg

The tiny Free State town of Harrismith is under a blanket of snow after heavy falls overnight. The unusual weather caused the closure of a long stretch of the N3 highway, between Van Reenen's Pass and Villiers. (Sapa)
816e83cbf050427aac60165301a32a5d.jpg

Many travellers moving between KwaZulu-Natal and Gauteng had to seek accommodation in Harrismith. (Sapa)

KZN - SNOW
345e1dab5cca473c9ce21a591d541c37.jpg

(Janse Van Rensburg, News24 User)
a8aaa43c66e942488160d1b3f6eb8eda.jpg

8c00059efb1b47c3bc37cc8787ddc8ea.jpg

02b0ea41194e4248a13e8f585473ffe7.jpg

(Cathedral Peak Hotel)
The mighty Ukahlamba/Drakensberg mountains
South Africans become kids at the first sign of snow, so to all the Snowmen
fb07dcbcadef45fc822314556c0d7257.jpg

f38694689d47492bbff2c23b4666f9ab.jpg

8e5c631dad3c4e56939167c269f835db.jpg

b43342753fbf4ba985dbc964af0f4c68.jpg

b9b33ceab7cc456ba3900642ee2be170.jpg

ee84fce88ecd4275ad3f12233c82351a.jpg

"Here's a pic of what my folks woke up to in Cofimvaba Eastern Cape this morning." (Cikizwa Nkuhlu, News24 User)
7beb28ceec664fdebbf6202d01f538fc.jpg

eeebd602408240548555a0de60eb3160.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom