Umenikumbusha mbali mkuu,eti tuligomea chapati kupandishwa bei!tulipokuwa wanafunzi kwenye chuo fulani tuligoma. makanjanja wa vyombo vya habar tanzania wakatuhoji tukawaambia sababu za kugoma kwetu, kesho wakaripoti eti tunagomea chakula. siiamini hii habari ya chanel 10.
hawa BAVICHA hawana jipya,baada ya kufanya maendeleo wao ck zote wapo road,2mewachoka
Nyie Mtaishia kutangaza maandamano. Watanzania wamechoshwa na siasa zenu za vurugu.
Duh!ni wewe au naota?! Ina maana Chadema uongozi hamna? Juzi juzi hapa Heche katuambia ktk facebook tukutane kimara tunaandamana, kwenda hamna mtu eti makao makuu ya chama wamefuta. Leo wewe hapa unakubali kwa kuthibitisha ktk jf maandamano yapo wakati kule fb hakuna Tangazo. Sikiza, wengine tuna ratiba zetu za kujipatia ridhiki hatuli ktk siasa, kuweni na utaratibu unaoeleweka wa kutoa taarifa kwa wanachama wenu.