THE PRINCE
Member
- Feb 22, 2011
- 40
- 6
Kupinga uonevu wa polisi kwa raia, wanafunzi kunyimwa mikopo na sifa wanazo, wamachinga kuonewa. source: chanel ten news
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamani eeh me naomba kabla ya mtu kutangaza maandamano awe ameshaandaa siku ya kuanza maandamano, yataanzia wapi na kuishia wapi..me nshachoka kusikia hizo habri , Maganba wameshanichosha sasa nataka tu kuandamana sio kusikia makelele ya maandamano bila utekelezajiKupinga uonevu wa polisi kwa raia, wanafunzi kunyimwa mikopo na sifa wanazo, wamachinga kuonewa. source: chanel ten news
Kupinga uonevu wa polisi kwa raia, wanafunzi kunyimwa mikopo na sifa wanazo, wamachinga kuonewa. source: chanel ten news
Yakija na ya kupinga katiba mbovu sasa c itakuwa vululuvululu tu?
tulipokuwa wanafunzi kwenye chuo fulani tuligoma. makanjanja wa vyombo vya habar tanzania wakatuhoji tukawaambia sababu za kugoma kwetu, kesho wakaripoti eti tunagomea chakula. siiamini hii habari ya chanel 10.Kupinga uonevu wa polisi kwa raia, wanafunzi kunyimwa mikopo na sifa wanazo, wamachinga kuonewa. source: chanel ten news
Sema umewachoka peke yako basi nanyie magamba itisheni yakwenu tuone watu wataenda kwenye maandamano gani sema wewe mchumia tumbohawa BAVICHA hawana jipya,baada ya kufanya maendeleo wao ck zote wapo road,2mewachoka
Maji kwa ajili ya kunawia yale mabomu Yao ya machozi ni muhimu pia mkuunimesha nunua buti na bakora pia begi la kubebea mkate sintachoka kamwe na Mungu anisaidie na kunipa nguvu.:crutch:
I smell something! Mambo ya mikate nini?tulipokuwa wanafunzi kwenye chuo fulani tuligoma. makanjanja wa vyombo vya habar tanzania wakatuhoji tukawaambia sababu za kugoma kwetu, kesho wakaripoti eti tunagomea chakula. siiamini hii habari ya chanel 10.
Am in!
Nao UVCCM watatangaza maandamano yasiyokoma siku ambayo BAVICHA wataandamana kisha wote watapigwa marufuku. Chakachua nikuchakachue nakuta kwenye tukio bwaaaaaa!Kupinga uonevu wa polisi kwa raia, wanafunzi kunyimwa mikopo na sifa wanazo, wamachinga kuonewa. source: chanel ten news