Tanganyika jeki
JF-Expert Member
- Jun 12, 2011
- 243
- 87
Huyu msomi toka chuo kikuu cha dsm yupo channel ten. Anasema wakulima si muda mrefu watafanya mapinduzi kwa sababu ya wakulima kusahauliwa na mpango dhaifu wa kilimo kwanza. Msomi huyu ananikumbusha chachage. Amefanana kwa mengi na marehemu chachage sethy chachage.