Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,955
- 122,238
Aisee.Mkuu hivi let's just imagine wakulima wafanye mgomo nchi nzima! Sipati picha...nakumbuka nilikua maeneo ya Machame in 2008, mkulima mmoja akasema kwamba serikali daima imekua ikiwatupa na akasema anatamani siku moja wakulima wote TZ wagome (ila walime tu kwajili ya familia zao) ili serikali ishike adabu!! Nikasema duh! I can't even imagine that happening!!
Ni kweli wakulima hawatahiminiwi toka siku nyingi, sasa kwa huu utawala wa Jiwe ndio majanga kabisa