Bashiru Ally: Rebirth of Chachage?

Tanganyika jeki

JF-Expert Member
Jun 12, 2011
243
87
Huyu msomi toka chuo kikuu cha dsm yupo channel ten. Anasema wakulima si muda mrefu watafanya mapinduzi kwa sababu ya wakulima kusahauliwa na mpango dhaifu wa kilimo kwanza. Msomi huyu ananikumbusha chachage. Amefanana kwa mengi na marehemu chachage sethy chachage.
 
Ngoja tumpe muda. Akiwaweza kina Bhana na Mkandara kwa hoja na misimamo ya mahali ulipo ukweli, atastahili kufikiriwa kuvikwa taji hilo
 
ni kweli watafanya mapinduzi na kua wakulima maskini zaidi duniani *huyu msomi yuko sahihi kabisa

Na hoja kubwa ni suala la ardhi. Km kuna jambo ambalo serikali inalifanyia mzaha ni suala hili. Ardhi kwa wakulima ni zaidi ya uchumi. Ni imani, uhai, familia. Ni kila kitu. Uwekezaji wa ardhi kwa sheria zilizopo zinasababisha uporaji wa ardhi wa wakulima. Mikoa ya pwani, arusha, morogoro, iringa na mbeya hali ni mbaya!
 
Ccm kuna wakati kilijinasibu chama cha wakulima. Wapi kilipoteleza? Bado chatumia alama za jembe na nyundo kwenye nembo yake. Swali ni nani mtetezi wa mkulima huyu aliyekamuliwa miaka yote hii 50 baada ya ccm kuporwa na mafisadi, mabeberu na mabepari?
 
Hapana ... Chachage alikuwa anajishughulisha na mambo yote ya kijamii. Huyu jamaa huwa anazungumzia mambo ardhi tu.
 
Huyu msomi toka chuo kikuu cha dsm yupo channel ten. Anasema wakulima si muda mrefu watafanya mapinduzi kwa sababu ya wakulima kusahauliwa na mpango dhaifu wa kilimo kwanza. Msomi huyu ananikumbusha chachage. Amefanana kwa mengi na marehemu chachage sethy chachage.

Bashiru Ally ni type ya kina Benson Bana. Hawezi kumfikia Chachage hata kwa 2%. Kwa taarifa yako huyu bwana ni mmoja ya wapiga debe wa CCM wazuri sana. Aliisha wahi kuwa Kampeni manager wa aliyekuwa mbunge wa CCM bukoba vijiji marehemu Sebastian Rukiza Kinyondo (RIP) ambaye alimpatia asante baada ya kuukwaa uwaziri wa kazi kwa kumwachia nyumba yake iliyo karibu na Mabibo Hostel aishi bila kulipa kodi.

Mimi huwa nikimuangalia simuamini na wala simuelewi dhamira yake ni nini hasa?, kuonekana academician?, kuonekana ni Independent person au kuonekana vipi hasa, maana matamko yake mengi hayaelezi uhalisia wa maisha ya leo zaidi ya blah blah za ujamaa. Sidhani kama hana dhamira ya kugombea nafasi ya uongozi hasa ubunge kupitia CCM, maana hiyo ni hobbie, aliishawahi kujaribu kuombea urais wa DARUSO mwaka 1998 akashindwa vibaya sana. Ila jamaa ukiwa humfahamu anaweza kukubadili nia kwa utaalamu wa kupangalia hoja. Nafikiri bado anapima upepo ili asiharibu kipaji.
 
Acha Chachage pembeni, Mnajua kwamba hakuna Mwanasiasa hata mmoja Tanzania mwenye ilani inayotetea maslahi ya WAKULIMA ingawa ndilo kundi kubwa la wananchi na Kilimo ni uti wa mgongo wa Uchumi wetu?

Mkuu hivi let's just imagine wakulima wafanye mgomo nchi nzima! Sipati picha...nakumbuka nilikua maeneo ya Machame in 2008, mkulima mmoja akasema kwamba serikali daima imekua ikiwatupa na akasema anatamani siku moja wakulima wote TZ wagome (ila walime tu kwajili ya familia zao) ili serikali ishike adabu!! Nikasema duh! I can't even imagine that happening!!
 
Bashiru Ally ni type ya kina Benson Bana. Hawezi kumfikia Chachage hata kwa 2%. Kwa taarifa yako huyu bwana ni mmoja ya wapiga debe wa CCM wazuri sana. Aliisha wahi kuwa Kampeni manager wa aliyekuwa mbunge wa CCM bukoba vijiji marehemu Sebastian Rukiza Kinyondo (RIP) ambaye alimpatia asante baada ya kuukwaa uwaziri wa kazi kwa kumwachia nyumba yake iliyo karibu na Mabibo Hostel aishi bila kulipa kodi.

Mimi huwa nikimuangalia simuamini na wala simuelewi dhamira yake ni nini hasa?, kuonekana academician?, kuonekana ni Independent person au kuonekana vipi hasa, maana matamko yake mengi hayaelezi uhalisia wa maisha ya leo zaidi ya blah blah za ujamaa. Sidhani kama hana dhamira ya kugombea nafasi ya uongozi hasa ubunge kupitia CCM, maana hiyo ni hobbie, aliishawahi kujaribu kuombea urais wa DARUSO mwaka 1998 akashindwa vibaya sana. Ila jamaa ukiwa humfahamu anaweza kukubadili nia kwa utaalamu wa kupangalia hoja. Nafikiri bado anapima upepo ili asiharibu kipaji.

Si kweli, HAKUSHINDWA VIBAYA SANA. Alishindwa lakini si kihivyo.
 
Bashiru Ally ni type ya kina Benson Bana. Hawezi kumfikia Chachage hata kwa 2%. Kwa taarifa yako huyu bwana ni mmoja ya wapiga debe wa CCM wazuri sana. Aliisha wahi kuwa Kampeni manager wa aliyekuwa mbunge wa CCM bukoba vijiji marehemu Sebastian Rukiza Kinyondo (RIP) ambaye alimpatia asante baada ya kuukwaa uwaziri wa kazi kwa kumwachia nyumba yake iliyo karibu na Mabibo Hostel aishi bila kulipa kodi.

Mimi huwa nikimuangalia simuamini na wala simuelewi dhamira yake ni nini hasa?, kuonekana academician?, kuonekana ni Independent person au kuonekana vipi hasa, maana matamko yake mengi hayaelezi uhalisia wa maisha ya leo zaidi ya blah blah za ujamaa. Sidhani kama hana dhamira ya kugombea nafasi ya uongozi hasa ubunge kupitia CCM, maana hiyo ni hobbie, aliishawahi kujaribu kuombea urais wa DARUSO mwaka 1998 akashindwa vibaya sana. Ila jamaa ukiwa humfahamu anaweza kukubadili nia kwa utaalamu wa kupangalia hoja. Nafikiri bado anapima upepo ili asiharibu kipaji.

Mtu yeyote anaejiita msomi au msomi yeyote kujifanya independent katika namna serikali hii ya CCM inavyoendesha na kuongoza nchi, hakika msomi huyo ni bonge la mnafiki.
Msomi huwezi kuwa undependent wakati nchi inafanya sherehe za kipuuzi mwaka mzima kwa mabilioni ya pesa wakati wanafunzi kuanzia DSM hadi Msimbati hawana madawati ya kutosha...na shida nyingine kemkem!!
Huo uindependent utatoka wapi katika hali hiyo? Hapo msomi lazima achukue side ya kuikosoa serikali; na kwa hali ya sasa ya serikali hii ya CCM, mtu anaeikosoa serikali anachukuliwa kama mpinzani (tena CHADEMA!!)
 
He got potential, ila mlimani pale kwa sasa namkubali zaidi Dr Ng'wanza Kamata anafikra za kupinga unyonyaji wa kitabaka sana, pia nawaheshimu Dr Lwaitama, Dr Makulilo, Professor Mmuya, na Professor Munishi, kutoka idara ya siasa.
 
Bashiru Ally ni type ya kina Benson Bana. Hawezi kumfikia Chachage hata kwa 2%. Kwa taarifa yako huyu bwana ni mmoja ya wapiga debe wa CCM wazuri sana. Aliisha wahi kuwa Kampeni manager wa aliyekuwa mbunge wa CCM bukoba vijiji marehemu Sebastian Rukiza Kinyondo (RIP) ambaye alimpatia asante baada ya kuukwaa uwaziri wa kazi kwa kumwachia nyumba yake iliyo karibu na Mabibo Hostel aishi bila kulipa kodi.

Mimi huwa nikimuangalia simuamini na wala simuelewi dhamira yake ni nini hasa?, kuonekana academician?, kuonekana ni Independent person au kuonekana vipi hasa, maana matamko yake mengi hayaelezi uhalisia wa maisha ya leo zaidi ya blah blah za ujamaa. Sidhani kama hana dhamira ya kugombea nafasi ya uongozi hasa ubunge kupitia CCM, maana hiyo ni hobbie, aliishawahi kujaribu kuombea urais wa DARUSO mwaka 1998 akashindwa vibaya sana. Ila jamaa ukiwa humfahamu anaweza kukubadili nia kwa utaalamu wa kupangalia hoja. Nafikiri bado anapima upepo ili asiharibu kipaji.

Nilitegemea tu ungesema hayo..tunajua ni kwanini??

Never appreciate akishakuwa na majina kama yaleeee..
 
Nilitegemea tu ungesema hayo..tunajua ni kwanini??

Never appreciate akishakuwa na majina kama yaleeee..

Bashir kuwa sawa na Chachage ni utani usofaa.

Anaficha misimamo yake. Pale Ihungo H/school akiwa HP hakupata kutetea maslahi ya wanafunzi. Iliaminika kuwa alikuwa TISS coz it was known to be married lakini uongozi wa shule hawakumgusa
 
Bashir kuwa sawa na Chachage ni utani usofaa.

Anaficha misimamo yake. Pale Ihungo H/school akiwa HP hakupata kutetea maslahi ya wanafunzi. Iliaminika kuwa alikuwa TISS coz it was known to be married lakini uongozi wa shule hawakumgusa

Ni kweli tupu, good leader and organiser, but likes to lead from behind. Alikua na ndoto za kugombea urais siku moja.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom