Mwendawazimu na mchovu wa kufikiri. Mwacheni, the day is coming, very soon we will get there. Fuatilia historia za mapinduzi kokote duniani, utajua Tanzania kwa kupitia chama makini (CHADEMA)....ukombozi wa mtanzania u-karibu/umefika.
mwandikie pia kuwa OCAMPO lazima amchukue THE HAGUE si kama zamani tena walivyokuwa wakitunyanyasa angalia Kenya Mr.ANDENGENYE
Inafahamika kuwa watu wa chama chako ni hodari wa kutoa matusi.
You are a disgrace.
Inafahamika kuwa watu wa chama chako ni hodari wa kutoa matusi.
You are a disgrace.
The best start of the year crapMheshimiwa RPC
Salaam.
Watanzania wote tunafuatilia kwa karibu yanayojiri sasa mjini Arusha.
Tunapenda kukupongeza wewe na vijana wako kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya katika kuhakikisha kuwa sheria za nchi yetu zinafuatwa na kila mtu. Mmeonesha weledi (professionalism) wa hali ya juu.
Tuko pamoja na wewe Kamanda. Tutalinda kwa gharama yeyote usalama na utulivu wa nchi yetu. Vitendo vya kihuni vilivyofanywa na viongozi wapuuzi wa cdm haviwezi kuvumiliwa kamwe. Aidha siasa za kishenzi hazina nafasi katika Tanzania ya sasa.
Wazalendo tunaendelea kuchapa kazi katika kujiletea maendeleo yetu, hatuna muda wa kupoteza wala hatutapotoshwa na wanasiasa uchwara wanaotaka kutumia siasa kutimiza malengo binafsi.
Mungu Ibariki Tanzania.
kny Watanzania Wazalendo.
Those who write this type of letter they do not know the meaning of UKOMBOZI..................Boy, be of your age!
What do you mean by ukombozi? You are dreaming.
Unamwongelea mtanzania yupi?? ... may be your fellow hooligans.
By the way, be informed that: the majority of Tanzanians don't support your barbaric behaviour.
Mheshimiwa RPC
Salaam.
Watanzania wote tunafuatilia kwa karibu yanayojiri sasa mjini Arusha.
Tunapenda kukupongeza wewe na vijana wako kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya katika kuhakikisha kuwa sheria za nchi yetu zinafuatwa na kila mtu. Mmeonesha weledi (professionalism) wa hali ya juu.
Tuko pamoja na wewe Kamanda. Tutalinda kwa gharama yeyote usalama na utulivu wa nchi yetu. Vitendo vya kihuni vilivyofanywa na viongozi wapuuzi wa cdm haviwezi kuvumiliwa kamwe. Aidha siasa za kishenzi hazina nafasi katika Tanzania ya sasa.
Wazalendo tunaendelea kuchapa kazi katika kujiletea maendeleo yetu, hatuna muda wa kupoteza wala hatutapotoshwa na wanasiasa uchwara wanaotaka kutumia siasa kutimiza malengo binafsi.
Mungu Ibariki Tanzania.
kny Watanzania Wazalendo.
Mheshimiwa RPC
Salaam.
Watanzania wote tunafuatilia kwa karibu yanayojiri sasa mjini Arusha.
Tunapenda kukupongeza wewe na vijana wako kwa kazi nzuri mnayoendelea kuifanya katika kuhakikisha kuwa sheria za nchi yetu zinafuatwa na kila mtu. Mmeonesha weledi (professionalism) wa hali ya juu.
Tuko pamoja na wewe Kamanda. Tutalinda kwa gharama yeyote usalama na utulivu wa nchi yetu. Vitendo vya kihuni vilivyofanywa na viongozi wapuuzi wa cdm haviwezi kuvumiliwa kamwe. Aidha siasa za kishenzi hazina nafasi katika Tanzania ya sasa.
Wazalendo tunaendelea kuchapa kazi katika kujiletea maendeleo yetu, hatuna muda wa kupoteza wala hatutapotoshwa na wanasiasa uchwara wanaotaka kutumia siasa kutimiza malengo binafsi.
Mungu Ibariki Tanzania.
kny Watanzania Wazalendo.
.Shetani kabisaPlease dont mention God kwenye unyama uliofanywa na polisi.God says dont kill halafu this police have killed how comes unasema MUngu bariki.You dont mention God kabisa kwasababu Mungu hausiki na uovu kama huu.Hivi huyu jamaa ana akili kweli aliyoandika hii article.Siasa zipi za kishenzi kuandamana ni haki ya kikatiba ya kila raia.I dont see anything wrong with that.The only thing the police should do is ensuring that people and their property are safe.Regardless of their party membership.Honestly sidhani kama mtu mwenye akili zake timamu anaweza kupongeza vifo vya watu.Huyu lazima atakuwa na roho ya shetani na sehemu yake ni depth of hell kuzimu pamoja na baba yake shetani.!!!!.This guy is devil!!!!!! ni shetani mkubwa