Hijja Madava
JF-Expert Member
- May 14, 2014
- 3,302
- 1,936
Masikini Bwana Mkubwa Amuhurumie Huyu Kijana Keshakoma Hata Kama Alimpigia Kifua Baba Ake Wakati Anakula Ile Kitu Ya Mhishimiwa Namsamehe Tu Yamemfika Shingoni
Masikini Bwana Mkubwa Amuhurumie Huyu Kijana Keshakoma Hata Kama Alimpigia Kifua Baba Ake Wakati Anakula Ile Kitu Ya Mhishimiwa Namsamehe Tu Yamemfika Shingoni
una uhakika alikula
Alikula Hadi Ila Kakubali Yuko Chini Ya Miguu Yake Ni Bora Akamuwia Radhi Wanawake Waweza Kuwa Stare Sna Duniani Ila Somtim Shida Sna Mwambieni Mukulu Binaka Kesho Kutwa Aking'atuka Amchomoe Uyo Dogo Bwana Kesha Koma Huyo Dad Wake Amwache Tu Mana Mautamu Kapata Yeye
Barua ya kihuni, haina tarehe.
...Hivi huyo Papii amekwenda shule angalau hata darasa la 7? Barua haina kichwa, mwili wala mkia.....Mh! Huenda watu mnataka kutupisha baraza la kahawa tu humu....
Huo unafiki wao uko wapi hapo?unataka kusema kuwa hao wa huko china wanaosuburi kunyongwa ndo wa kuwaonea huruma sana kwa kubeba madawA ya kulevya,kwani walitumwa kufanya hivyo?kama ni huruma usibague wa kumuonea hurumu ndugu,cause they are all sailing in the same boat...Acha wanyongwe maana walikuwa wanajua nn wanafanya na adhabu yake walikuwa wanajua,au labda hiyo huruma yako kwa hao huko china its somthing within you.watanzania wanafiki sana,mnaacha kuwaonea huruma ndugu zetu wanaosubiri kunyogwa huko china mnawaonea huruma hawa wabakaji!