tinna cute
JF-Expert Member
- Sep 22, 2013
- 4,630
- 2,301
We bado hadi leo unaamini kwamba jamii fulani ndiyo hodari kwa kitu au jambo fulani?
Hujaniellewa,,,, siamini kama kuna huo uchawi na sijawahi kisikia watu wakifanya hivo. ni comment yako ndo imeelezea hayo.