masatujr1985
JF-Expert Member
- Oct 27, 2011
- 1,980
- 780
Mwalimu Mwambije pole sana ni imani yangu kale ka falsafa ka FUKU (Fundisha Kadri Ulipwavyo) kataendelea kutesa taifa hili endapo maoni na uchambuzi wako havitazingatiwa kwa uzito wake...Umepresent vizuri sana Mwl wangu kazi kwa mwenye kuchanganya na za kwake kuamua