Barua: Kutoka kwa Mwalimu wa Shule ya Msingi kwenda kwa Rais wa JMT

7.Mheshimiwa kuna vitu havizuiliki kama vocha,wakija wageni,kwenda hospitali,bado kutoka out mara moja moja (Yaani kama wewe #unavoendaga sydney kula mbuzi# na sisi tunaendaga kwa mama Lucy sinza kula vifaranga). HAA HAA HAA HAA HAPO KWENYE # NDIPO PATAKAPO LETA UTATA KWA JK,KUNA KEJERI ILIYOMBATANA NA UKWELI NDANI YAKE.
 
Huu ni uvivu wa kufikiri, kutoa maoni ya jumla jumla kuwa maisha magumu bila kuweka data ili kupingana na aliyesema maisha magumu kwa data unajivua nguo tu mkuu. Huyu jamaa ameonesha anafanya kazi kwa bidii na hataki ubabaishaji kama tution, anatamani biashara lakini mtaji na muda wa kufanya biashara ni kikwazo...

Nilitegemea Mtanzania mwenzie umuunge mkono kwa kumuombea kwa Mh Rais angalau awafikirie kwa nyongeza ya asilimia 300 ili walimu nao wajione watu kama watu wengine.
Suala la mshahara wa milioni kumi kutotosha litolee ufafanuzi kwa kutupa mchanganuo hazitoshi vipi, hapo tutajua na wewe ni Great Thinker

All in All Big up kwa walimu wote Tanzania kwa uvumilivu wenu, nchi hii ni yetu sote na adui yetu ni mmoja tu, naye ni CCM

mkuu, nadhani una matatizo ya utindio wa ubongo. huyu mwalimu naye amechanganyikiwa sana. kwanza namfahamu huyo. mtihani wa darasa la saba alifeli huko shule ya msingi Itentula iliyopo wilayani mbozi. akachukuliwa na mjombaake aitwaye Asynyime Ngigana anayeishi Tabata Dar es Salaam. akamtafutia shule ya private ya Jitegemee inayomilikiwa na Jeshi. akasoma mpaka kidato cha Nne. mtihani wa form four pia akafanikiwa kuzungusha kwa kupata division 0 ya point 35. kuona hivyo, akamwomba cheti rafiki yake sitaki kumtaja jina ambaye alipata division four point 28 ili akasomee ualimu chuo cha ualimu Ilonga. akafanikiwa kupata nafasi. tena bahati iliyoje, serikali ikapunguza muda wa kozi za ualimu kutoka miaka miwili hadi mwaka mmoja. matokeo ya chuo si mazuri kwake maana alifeli pia. ila aliruhusiwa kuanza kazi kwa masharti kuwa ataclear masomo aliyofeli. hadi leo hii hajarudi chuo na kila kona analalamikia ugumu wa maisha.

alichukua mkopo wa shilingi milioni 5 benki ya NMB kwa malengo ya kuanzisha mradi wa biashara ya cafe. alishawishiwa na mtoto wa kichaga ambaye walikuwa na urafiki wa kimapenzi na ambaye alimshauri fedha zote akabidhiwe yeye ili asimamie vizuri biashara wakati mzee yupo kazini. jamaa akaingia mkenge. yule binti wa kichaga baada ya kukabidhiwa mzigo akasepanao na akatokomea kusikojulikana. mbaya zaidi jamaa alikuwa hajawahi kufika nyumbani kwa yule binti na wala hamjui ndugu yake yeyote. mbaya zaidi tena, yule binti alikuwa anatumia majina ya bandia. kakwama. hayo yote aliyoandika hayana ukweli wowote kwani mshahara wake haufiki hata laki moja maana NMB wanaendelea kumkata mkopo. toka ameanza kazi, hana mawasiliano na wazazi wake wala mjomba yake yule wa Tabata. Eleza ukweli mwalimu. hata kama leo JK atakuongezea mshahara wa kulingana na wa spika wa bunge, hutaweza kuutumia vizuri maana kipato kidogo ulichopata ulikifanyia ufisadi kwa kuingia tamaa ya haraka bila kuchukua tahadhali
 
7.Mheshimiwa kuna vitu havizuiliki kama vocha,wakija wageni,kwenda hospitali,bado kutoka out mara moja moja (Yaani kama wewe #unavoendaga sydney kula mbuzi# na sisi tunaendaga kwa mama Lucy sinza kula vifaranga). HAA HAA HAA HAA HAPO KWENYE # NDIPO PATAKAPO LETA UTATA KWA JK,KUNA KEJERI ILIYOMBATANA NA UKWELI NDANI YAKE.

kwa hiyo yeye anataka alingane matanuzi na Rais? hata wema sepetu tu bado hajamfikia ambae amemfanyia shopping mbwa wake ya milioni 6.
 
mkuu, nadhani una matatizo ya utindio wa ubongo. huyu mwalimu naye amechanganyikiwa sana. kwanza namfahamu huyo. mtihani wa darasa la saba alifeli huko shule ya msingi Itentula iliyopo wilayani mbozi. akachukuliwa na mjombaake aitwaye Asynyime Ngigana anayeishi Tabata Dar es Salaam. akamtafutia shule ya private ya Jitegemee inayomilikiwa na Jeshi. akasoma mpaka kidato cha Nne. mtihani wa form four pia akafanikiwa kuzungusha kwa kupata division 0 ya point 35. kuona hivyo, akamwomba cheti rafiki yake sitaki kumtaja jina ambaye alipata division four point 28 ili akasomee ualimu chuo cha ualimu Ilonga. akafanikiwa kupata nafasi. tena bahati iliyoje, serikali ikapunguza muda wa kozi za ualimu kutoka miaka miwili hadi mwaka mmoja. matokeo ya chuo si mazuri kwake maana alifeli pia. ila aliruhusiwa kuanza kazi kwa masharti kuwa ataclear masomo aliyofeli. hadi leo hii hajarudi chuo na kila kona analalamikia ugumu wa maisha.

alichukua mkopo wa shilingi milioni 5 benki ya NMB kwa malengo ya kuanzisha mradi wa biashara ya cafe. alishawishiwa na mtoto wa kichaga ambaye walikuwa na urafiki wa kimapenzi na ambaye alimshauri fedha zote akabidhiwe yeye ili asimamie vizuri biashara wakati mzee yupo kazini. jamaa akaingia mkenge. yule binti wa kichaga baada ya kukabidhiwa mzigo akasepanao na akatokomea kusikojulikana. mbaya zaidi jamaa alikuwa hajawahi kufika nyumbani kwa yule binti na wala hamjui ndugu yake yeyote. mbaya zaidi tena, yule binti alikuwa anatumia majina ya bandia. kakwama. hayo yote aliyoandika hayana ukweli wowote kwani mshahara wake haufiki hata laki moja maana NMB wanaendelea kumkata mkopo. toka ameanza kazi, hana mawasiliano na wazazi wake wala mjomba yake yule wa Tabata. Eleza ukweli mwalimu. hata kama leo JK atakuongezea mshahara wa kulingana na wa spika wa bunge, hutaweza kuutumia vizuri maana kipato kidogo ulichopata ulikifanyia ufisadi kwa kuingia tamaa ya haraka bila kuchukua tahadhali

Nadhani yeye kasimama akiwakilisha hali halisi ya Mwl.wa Daraja A anayeanza kazi Dar. Sio vizuri kumshambulia yeye binafsi. Hizi ni facts supported with figures. HOJA YA MSINGI HAPA MSHAHARA WA KUANZIA WA MWL WA GRADE HAUTOSHI HATA CHAKULA KWA MWEZI.
 
Nadhani yeye kasimama akiwakilisha hali halisi ya Mwl.wa Daraja A anayeanza kazi Dar. Sio vizuri kumshambulia yeye binafsi. Hizi ni facts supported with figures. HOJA YA MSINGI HAPA MSHAHARA WA KUANZIA WA MWL WA GRADE HAUTOSHI HATA CHAKULA KWA MWEZI.

lakini kiwango cha mshahara kinategemea na kiwango cha elimu. kama huyu jamaa hajafaulu hata mtihani wa darasa la saba, ana haki gani ya kudai kiwango kikubwa cha mshahara? mbona wenye taaluma zao hayo aliyoandika hawafanyi hivyo? hivi toka lini mtu akamwambia mwajiri wake mambo kama hayo? wakati anasaini barua ya ajira, mbona hoja hizo hakumweleza mwajiri wake na ikiwezekana asingesaini barua hiyo mpaka atakaporidhika kiwango cha mshahara
 
Mishahara ya walimu na watumishi wa umma kwa ujumla inapanda katika bajeti inayoendelea dodoma

Wewe ndo waziri wa fedha?? hiyo mishahara inayopandishwaga kwa Tsh 10,000/= tu itatosheleza nini na huku tayari bei ya usafiri imeshapaa, pia kumbuka kuwa bei ya mafuta nayo itapanda so hiyo increment ya salary itamezwa na ongezeko la bei za vyakula then huyu mwalimu Mwambije na maelfu ya waalimu wenzake watarudi back to square one. Bajeti yeti imeshakuwa kiini macho, haipo katika kumsaidia mtanzania, ipo katika kumdidimiza.
 
lakini kiwango cha mshahara kinategemea na kiwango cha elimu. kama huyu jamaa hajafaulu hata mtihani wa darasa la saba, ana haki gani ya kudai kiwango kikubwa cha mshahara? mbona wenye taaluma zao hayo aliyoandika hawafanyi hivyo? hivi toka lini mtu akamwambia mwajiri wake mambo kama hayo? wakati anasaini barua ya ajira, mbona hoja hizo hakumweleza mwajiri wake na ikiwezekana asingesaini barua hiyo mpaka atakaporidhika kiwango cha mshahara
Narudia; sio vizuri kumjadili mtu hapa, bali hoja ni Kutokidhi mahitaji ya msingi kwa mshahara wa Mwl. wa Daraja A mwenye cheti halali na ameajiriwa sahihi kabisa kisheria. Swala la kukubali kusaini mkataba , pamoja na mambo mengine KWANZA, ni lazima ukubali kuwa "KAZI NI KIPIMO CHA UTU" Kupata kazi halali ya kufanya na kutoa mchango wa jamii yako ya kulea kizazi kijacho ni neema kubwa toka kwa Mwenyenzi Mungu, hata kabla ya kuwaza maslahi mengine. PILI, nilipokubali kwenye chuo ya Ualimu nilichagua tayari kuitumikia jamii yangu kwenye hiyo nyanja, hivyo jamii INALAZIMIKA kuniwezesha kwa kuniandalia mazingira mazuri niweze kutimiza wajibu wangu kama nilivyofundishwa chuo na ninavyotamani. Nilipokubali kusaini mkataba niliona ni sahihi kuliko kukaa bila kazi na kuishinikiza Jamii ipandishe kwanza mshahara(JMT itakushangaa kudai mshahara uongezwe ambao haukuhusu). TATU, naomba mtu mmoja afanye utafiti wa Waalimu wangapi wanaoacha kazi ya ualimu na kukimbilia taaluma nyingine ili uelewe ni nini unacho-argue hapo. Hawaachi Ualimu kwa sababu wanapenda bali kwa kushindwa kusaidia jamii kwa kiwango cha uwezo walio nao kutokana na mazingira mabovu. Jiulize, hivi waalimu wote wakakataa kuajiriwa kwa sababu ya maslahi mabaya wanao atafundisha nani. TUUNGANE KWA PAMOJA WA-TZ WOTE KUWATETEA WAALIMU, MA-DR, POLICE KWANI MASLAHI DUNI YANAWAKWAZA KUTOTUHUDUMIA VIZURI.
 
Nadhani yeye kasimama akiwakilisha hali halisi ya Mwl.wa Daraja A anayeanza kazi Dar. Sio vizuri kumshambulia yeye binafsi. Hizi ni facts supported with figures. HOJA YA MSINGI HAPA MSHAHARA WA KUANZIA WA MWL WA GRADE HAUTOSHI HATA CHAKULA KWA MWEZI.

Naomba umpuuze huyu kijana wa Lumumba,ameamua kutunga hadithi jamvini!
 
Kazi ya walimu tunakosea sana tukiwapa mshahara kidogo eti kwa sababu ni huduma za serikali (yaani sehemu ambayo haiingizi mapato)
Ukiangalia walimu wanatakiwa wamakinike katika ufundishaji na sio kukurupuka katika tasnia nyingine pia kujiingizia kipato....
Wapeni wahasibu kidogo....wapeni wafanyakazi wa mashirika ya umma kidogo kwa sababu wana other sources of Income...
Doctors and Teachers (according to their levels) should be paid higher than politicians ( MP's and Ministers)
If we have an extremely desire to perform well in all spheres to emulate!
 
Mh,
Mwambije anawaakilisha maelfu ya waalimu, ni dhahiri tuuendako kama hakuna mabadiliko sioni kama kuna usalama!
To blame Margaret Thatcher for today's problems is to misunderstand history. Nami nasema kuilaumu serikali ya awamu ya nne kwa matatizo yote ni kusahau historia. Kiazi kipya kielimishwe tunakotoka ili tuone tuneendaje mbele, kama ni lawama matatizo mengi yalianza awamu ya kwanza tulipoingia vitani bila ya sababu ya msingi tukaambiwa tufunge mikanda tukafunga hadi leo, na aliyetoa amri ya tufunge hayupo tena! oh Tanganyika uliyekuwa na neema kabla ya 1961. Laana ya vita na dhuluma za mali za watu- Azimio. Look at what Kenya is doing? Hata kuanguka maghorofa ya (NHC) ni mwendlezo ya laana ileile ya dhuluma, Msajili, NHC wahakuwa na nyumba wala ardhi.
 
mkuu, nadhani una matatizo ya utindio wa ubongo. huyu mwalimu naye amechanganyikiwa sana. kwanza namfahamu huyo. mtihani wa darasa la saba alifeli huko shule ya msingi Itentula iliyopo wilayani mbozi. akachukuliwa na mjombaake aitwaye Asynyime Ngigana anayeishi Tabata Dar es Salaam. akamtafutia shule ya private ya Jitegemee inayomilikiwa na Jeshi. akasoma mpaka kidato cha Nne. mtihani wa form four pia akafanikiwa kuzungusha kwa kupata division 0 ya point 35. kuona hivyo, akamwomba cheti rafiki yake sitaki kumtaja jina ambaye alipata division four point 28 ili akasomee ualimu chuo cha ualimu Ilonga. akafanikiwa kupata nafasi. tena bahati iliyoje, serikali ikapunguza muda wa kozi za ualimu kutoka miaka miwili hadi mwaka mmoja. matokeo ya chuo si mazuri kwake maana alifeli pia. ila aliruhusiwa kuanza kazi kwa masharti kuwa ataclear masomo aliyofeli. hadi leo hii hajarudi chuo na kila kona analalamikia ugumu wa maisha.

alichukua mkopo wa shilingi milioni 5 benki ya NMB kwa malengo ya kuanzisha mradi wa biashara ya cafe. alishawishiwa na mtoto wa kichaga ambaye walikuwa na urafiki wa kimapenzi na ambaye alimshauri fedha zote akabidhiwe yeye ili asimamie vizuri biashara wakati mzee yupo kazini. jamaa akaingia mkenge. yule binti wa kichaga baada ya kukabidhiwa mzigo akasepanao na akatokomea kusikojulikana. mbaya zaidi jamaa alikuwa hajawahi kufika nyumbani kwa yule binti na wala hamjui ndugu yake yeyote. mbaya zaidi tena, yule binti alikuwa anatumia majina ya bandia. kakwama. hayo yote aliyoandika hayana ukweli wowote kwani mshahara wake haufiki hata laki moja maana NMB wanaendelea kumkata mkopo. toka ameanza kazi, hana mawasiliano na wazazi wake wala mjomba yake yule wa Tabata. Eleza ukweli mwalimu. hata kama leo JK atakuongezea mshahara wa kulingana na wa spika wa bunge, hutaweza kuutumia vizuri maana kipato kidogo ulichopata ulikifanyia ufisadi kwa kuingia tamaa ya haraka bila kuchukua tahadhali

Ni Kichaa peke yake anaweza kuweka comments za kipuuzi na kufikirika kama hizi hapa JF. I am now pronouncing to all JF members that you are officially KICHAA

Ulichotakiwa kuzungumzia ni uhalisia wa hoja ya barua. Kama kufeli waziri wako Amim Agustino Philipo Milugo Mulungu amefeli na kuchukua majina ya na vyeti vya watu, wewe unahamishia kesi yake kwa Mwalimu asiye na hatia. Mtu wa sifuri kama wewe hawezi kuja na uchambuzi mzuri na uliotulia kama huu wa matumizi yake, IQ yake inacharge sio kama yako.
 
Narudia; sio vizuri kumjadili mtu hapa, bali hoja ni Kutokidhi mahitaji ya msingi kwa mshahara wa Mwl. wa Daraja A mwenye cheti halali na ameajiriwa sahihi kabisa kisheria. Swala la kukubali kusaini mkataba , pamoja na mambo mengine KWANZA, ni lazima ukubali kuwa "KAZI NI KIPIMO CHA UTU" Kupata kazi halali ya kufanya na kutoa mchango wa jamii yako ya kulea kizazi kijacho ni neema kubwa toka kwa Mwenyenzi Mungu, hata kabla ya kuwaza maslahi mengine. PILI, nilipokubali kwenye chuo ya Ualimu nilichagua tayari kuitumikia jamii yangu kwenye hiyo nyanja, hivyo jamii INALAZIMIKA kuniwezesha kwa kuniandalia mazingira mazuri niweze kutimiza wajibu wangu kama nilivyofundishwa chuo na ninavyotamani. Nilipokubali kusaini mkataba niliona ni sahihi kuliko kukaa bila kazi na kuishinikiza Jamii ipandishe kwanza mshahara(JMT itakushangaa kudai mshahara uongezwe ambao haukuhusu). TATU, naomba mtu mmoja afanye utafiti wa Waalimu wangapi wanaoacha kazi ya ualimu na kukimbilia taaluma nyingine ili uelewe ni nini unacho-argue hapo. Hawaachi Ualimu kwa sababu wanapenda bali kwa kushindwa kusaidia jamii kwa kiwango cha uwezo walio nao kutokana na mazingira mabovu. Jiulize, hivi waalimu wote wakakataa kuajiriwa kwa sababu ya maslahi mabaya wanao atafundisha nani. TUUNGANE KWA PAMOJA WA-TZ WOTE KUWATETEA WAALIMU, MA-DR, POLICE KWANI MASLAHI DUNI YANAWAKWAZA KUTOTUHUDUMIA VIZURI.

MKUU, kumbe lengo la hiyo barua ni kujenga hoja ya jumla kwa walimu wote? ila kumbuka hiyo barua ni personal na wala si ya kikazi. kajieleza yeye na si walimu wote. ukiangalia kwa makini matumizi yake utagundua kuwa hayana uhalisia kama nilivyofafanua hapo juu. pia nimeeleza kuwa huyu mwalimu namfaham na hastahili kuwa mwalimu kama serikali itaamua kubana na kufuata haki. hastahili pia kudai kitu ambacho hastahili kukipata. huyu ni miongoni mwa watu waliokimbilia ajira ya ualimu baada ya kufanya vibaya kwenye mtihani wa form four. ni kielelezo kiigizo kibaya cha fani ya ualimu.
 
mkuu, kumbe lengo la hiyo barua ni kujenga hoja ya jumla kwa walimu wote? Ila kumbuka hiyo barua ni personal na wala si ya kikazi. Kajieleza yeye na si walimu wote. Ukiangalia kwa makini matumizi yake utagundua kuwa hayana uhalisia kama nilivyofafanua hapo juu. Pia nimeeleza kuwa huyu mwalimu namfaham na hastahili kuwa mwalimu kama serikali itaamua kubana na kufuata haki. Hastahili pia kudai kitu ambacho hastahili kukipata. Huyu ni miongoni mwa watu waliokimbilia ajira ya ualimu baada ya kufanya vibaya kwenye mtihani wa form four. Ni kielelezo kiigizo kibaya cha fani ya ualimu.

pole sana
 
Ni Kichaa peke yake anaweza kuweka comments za kipuuzi na kufikirika kama hizi hapa JF. I am now pronouncing to all JF members that you are officially KICHAA

Ulichotakiwa kuzungumzia ni uhalisia wa hoja ya barua. Kama kufeli waziri wako Amim Agustino Philipo Milugo Mulungu amefeli na kuchukua majina ya na vyeti vya watu, wewe unahamishia kesi yake kwa Mwalimu asiye na hatia. Mtu wa sifuri kama wewe hawezi kuja na uchambuzi mzuri na uliotulia kama huu wa matumizi yake, IQ yake inacharge sio kama yako.

hivi kuainisha matumizi ya kila siku na ya mwezi unahitaji kiwango kikubwa cha elimu? labda kwa mburula nyie ndo mtaomba msaada kwa wengine kuwapangia bajeti. sielezi hayo kwa kumtetea mtu fulani hata kama akiwa Mulugo amepata madaraka au kazi kwa mgongo wa mwingine nitampinga vibaya. halafu ukifuatilia sana wote wanaofanya vibaya kwenye kazi zao viwango vyao vya elimu vinatia shaka. fuatilia utendaji wa mulugo, wewe, mbowe na wengine wa design hiyo. nasisitiza huyu mwalimu namfahamu. ni kilaza sana na hata wanafunzi wa kike wanalalamika anawatongoza hovyo na ana kesi kibao za unyanyasaji wa kijinsia kwa mwalimu mkuu
 
Walimu wanaanzisha tuitions
Madaktari wanafungua Zahanati Binafsi...
Wanasheria wanakua Mawakili...
Ma-engineer nao wana firms zao...
Kosa ni ni kwa Polisi nae kuwa na kituo chake cha Polisi? Hakimu awe na Mahakama yake pia.....kama ile story ya Yule Hakimu kule mkoani???

Changamoto kwa Taifa; kila mtu aanzishe business yake kutokana na ujuzi wake.....
CC: zumbemkuu MANI Paloma saudari Invisible Bujibuji et al
Mkuu Elli mbona serikali ilishapiga marufuku Tuition siku nyingi au imetengua amri yake lini?

Hata kile kidogo ambacho mwalimu anajitahidi kufanya akitumia ujuzi wake ili ajikwamue Serikali hii inayojiita sikivu inapiga nyundo.
 
Ninaomba tukumbuke kuwa zipo profession ambazo ukifanya kazi za ziada huwezi fanya kazi yako vizuri, zipo profession unaweza fanyakazi hata ukiwa nyumbani, au kwa ratiba yako BUT mwalimu ni lazima awe pale mwanafunzi alipo, Dr lazima awe pale mgonjwa alipo, Askari magereza lazima awe pale mfungwa alipo n.k. Kazi ya mwl lazima ukubali kufanya kazi muda wa ziada kama utakuwa na nia ya kuwasaidia wanafunzi. Ni lazima uandae Azimio, Andalio, notes, uandae exercise, H/W, test na ufanye hayo maswali mwenyewe kwanza ili kujua ugumu wake, usahihishe madaftarin.k. Mwl. kufundisha tution ni uhaini kwa profession. Binafsi nimekuja na mapendekezo ya bajeti ya malipo aliyostahili Mwambije ili aishi na sio awe na maendeleo (mf. kiwanja, nyumba, usafiri n.k)
Bajeti ya Mwl. Mwambije Angalau ilipaswa iwe hivi.
Pango (vyumba 2) 30,000*2 60,000.00
Chakula (With reference to 7500 per day as meal allowance for undergraduate student as per Jully 2011) 7,500*30 225,000.00
Umeme & Maji 30,000.00
Mavazi 60,000.00 60,000.00
Usafi 25,000.00 25,000.00
Relatives(Wazazi, wadogo, michango misiba & harusi (>50000)) 100,000.00 100,000.00
Usafiri(Gari 2 kwenda) 400*2*2*30 48,000.00
Sadaka (Zaka(10%) +sadaka nyingine+masikini & wahitaji) 90,000.00
Mawasiliano(Najiunga Yatosha @ siku) 1,500*30 45,000.00
Others(Kumbuka ndo Mwambije anaanza kazi, hana kijiko, godoro, sufuria, kigoda n.k) 100,000.00
TAKE HOME(Take home) 783,000.00

Mkuu Shoo sijaona matibabu au mwalimu haumwi?
 
Back
Top Bottom