IT-manager
Senior Member
- Jan 20, 2014
- 151
- 33
Daaaah inatia uchungu hii barua!
Your ideas portray your castration anxiety....Wakati mwingine acha ushabiki hata kama una nufaika na system nani kakwambia Tanzania inalipa mishahara mikubwa kuliko nchi zote za afrika mashariki? Jinga sana wewe Kenya pekew ndo watakuwa wanalipa vizuri kuliko nchi zote katika ukanda huu, mfano kwa mwalimu daraja la chini analipwa Ksh. 39,000 kwa mwezi ebu rate hiyo kwa 19 tsh utapata shilingi ngapi? halafu unakuja hapa unakeji walimu na kubwabwaja hapa huna adabu