Keynez
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 2,397
- 3,884
Keynez,
..I just dont understand your line of thinking.
..Yaani wa-Tanzania hatuwezi kuamka mpaka tuwekewe vikwazo??
..Na huku kupeperusha bendera yetu kwenye tankers za Iran is our attempt "kuamka" frm ur slumber, or what??
..Huyo Fidel mwenyewe mbona kila siku analilia vikwazo viondolewe?? When did u hear him akisema vikwazo vimemsaidia?
JokaKuu,
Hamna anayependa kuwekewa vikwazo, si Cuba, Zimbabwe, Iran au Tanzania. Ninachosema tu ni kwamba huu mchezo ni mpana na mrefu. Ni muhimu kuangalia mambo kwa tafsiri pana iwezekanavyo hasa ukiwa unaongelea hizi siasa za dunia ili upate picha kamili. Nisingependa kuanza kuorodhesha mambo mbalimbali yanayoshawishi fikra zangu, itanichukua muda mrefu sana kuweza kujieleza kwa ufasaha. Nimeshawahi kuanzisha thread fupi humu miaka ya nyuma ya jinsi gani urafiki wa marekani na Tanzania ni 'machiavellian' (wa ki-hilahila??) kwa pande zote mbili.
Labda kama kuna wapanga sera na mikakati humu wanaweza wakawa wamenisoma vizuri.
Nikiweza kupanga mawazo yangu sawa na kwa ufupi nitajaribu kujielezea vizuri zaidi.