Nyambala
JF-Expert Member
- Oct 10, 2007
- 4,465
- 1,170
Yaani mnataka kusema mtu aliyetangazwa Rais wiki iliyopita mpaka leo hana orodha kamili ya Baraza lake la Mawaziri?
Probably YES maana nakumbuka ilisemwa baraza litatangazwa last Friday lakini mpaka leo holaaaa!!