Wambugani
JF-Expert Member
- Dec 8, 2007
- 1,757
- 276
Mawaziri ni wale wale, majina yaleyale, wizara walizoshikillia kwa muda mrefu zilezile....tumechoka chadema hawana watu wengine???????????
Labda huwafahamu wa awali. Wafuatao hawapo:
1. John Shibuda
2. Joseph Selasini
3. Mustafa Akunaay