BARAZA la Mawaziri Kivuli, Kambi Rasmi ya Upinzani baada ya mabadiliko

Chadema bana mtu hakiwa hana elimu hakiwa kwao ana busara hakiwa sehemu ingine wanamuita Kilaza.[/QUOT

Shame on you brother... Kiswahili hiki umesoma shule gani ? Hakiwa=akiwa, mhandishi wa habari...tena
Mko wengi sana humu mnaopenda kuweka h sehemu isiyo takiwa.
 
Kuna Waziri Mmoja Kivuli wa Chadema darasa la 7..

Hata kama angekuwa darasa la nne, kwani wasomi wenye ma Ph.D wametusaidia nini zaidi ya kuihujumu nchi? Walioiba Benki Kuu (EPA), waliotuletea Richmond, Dowans, Aggreco, kutuingiza "mjini" kwenye mikataba ya madini na "kuhongana" nyumba za serikali walikuwa darasa la saba? Mwigulu, Mzee wa vijisenti, Makomeo, RA, EL na utitiri uliosheheni ndani ya CCM ni darasa la saba? Historia inathibitisha wasiowasomi sana kulitendea taifa makuu. Karume (Baba mtu), Nyerere, Sokoine na wengi tu hawakuhitaji Ph.D kulipa heshima taifa letu.
 
Nilitamani awe Waziri, suala nani atoke Hilo Lao. Baraza Lina mfumo dume sana.


Mimi nilidhani unaangalia ungependekeza kulingana na uchapakazi wao kumbe we umeangalia katika sura nyingine. Kwa upande wangu kiongozi wa kambi ya upinzani amepanga kikosi kizuri sana.
 
Mimi nilidhani unaangalia ungependekeza kulingana na uchapakazi wao kumbe we umeangalia katika sura nyingine. Kwa upande wangu kiongozi wa kambi ya upinzani amepanga kikosi kizuri sana.

Niliangalia kujituma kwa Gekul, hapo nimeunganisha tu habari. But my point kuwa Gekul Alistahili uwaziri kwa uzuri wake.
 
Mabadiliko haya yametokana na nini? kipi kimepungua na kipi kimeongezeka?
 
:welcome:
Mr Rocky,
I dont think so
It was just a joke kwao ndo maana nikasema hivyo
Bora mtu awe na elimu ndogo ila awe na busara na kujua anafanya nini na anachangia nini
Kuliko kuwa na title kubwa eti wewe ni Prof au Dr au una Masters yako ila uchangiaji wako ni wa ajabu sawa na yule ambaye hajaenda shule. Elimu ya darasani na matumizi yake kwenye real life ni vitu viwili tofauti

huo ndio ukweli:llama:
 
Kuna Waziri Mmoja Kivuli wa Chadema darasa la 7..

Mkuu, ya kweli hayo?
Kwani katiba inasemaje kuhusu elimu ya waziri au waziri kivuli?

Hongereni CDM, nadhani walioko madarakani wanaweza kuiga namna ya kupunguza ukubwa wa baraza japo kidogo, si lazima kufanana.
 
Baraza makini kabisa! nilivyosikia mabadiliko ya mawaziri kivuli yanakuja nilipata wasiwasi kuwa mbunge wa Mbulu (Mstapha Akonaay) atakuwepo na ingekuwa aibu sana maake jamaa ni kilaza ile mbaya kumbe hata CDM wanalifahamu hilo! CDM hakikisheni 2015 anapatikana m2 mwingine makini lasivyo jimbo litarudi nyinyiem.

Mbona namsikia huyu jamaa ni mzuri sana kwenye maswala ya maamzi na nimtaalamu sana kwenye kuanda hotuba za viongozi wa chama ila nasikia huwa sio muongeaji ila ni mzuri sana wanamtumia sana ndani ya chama kwenye ushauri ndivyo nilivyo sikia sina uhakika na hayo
 
Back
Top Bottom