Kesho wanachama wa CCM wataandamana nchi nzima kumpongeza JK kwa baraza zuri la Mawaziri
Nicheke mie kwa hicho chenye red color
Kesho wanachama wa CCM wataandamana nchi nzima kumpongeza JK kwa baraza zuri la Mawaziri
hajui kuandika ndiyo maana fani yake ni kubwambwaja tu
source
Wakati tukimsubiri JK kulitaja baraza lake, sio vibaya mkijua, waandishi waliitwa wawepo pale toka saa 4:00 asubuhi, wengine ili wasichelewe, wakawahi toka saa 3 asubuhi, saa hizi inakwenda saa 6:30!, hii ndio timeliness ya rais wetu!
ha ha ha ha, hawa watu hawaachi kutushangaza mkuu
unadhani mkwere na wapambe wake wanalijua hilo? ukiwauliza kuhusu muda nadhani watakushangaa
anasema wananchi wanataka baraza linaloweza kuondoa kero za watz [sic] ....KIbonde
Mbona hyo orodha ya mkwere haitoi na saa sita ishapita...kaazi ipo.