Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,468
- 113,582
- Thread starter
- #61
mbona simuoni jf moderator au hakualikwa?
Ala MS kumbe leo uko thread hii, sio siri, wewe ni mmoja wa Wana jf wachache ambao wananifurahisha sana, kwani una bahati sana, ulibakiza kidogo tuu, uokote makopo!, CCM kweli ni mkombozi wako!.