Barabara hii ya kimataifa na lango la uchumi, serikali iiangalie .

Nahonyo

JF-Expert Member
Dec 28, 2012
5,374
5,016
Barabara ya Mandela hasa kuanzia ubungo hadi bandalini, haikidhi haja kutokana ubebaji wake malori mengi.
Barabara hii ya kimataifa, inayopitisha malori mengi, yakiwemo yanatokea nchi za jirani, ikimbukwe ni lango kuu la uchumi wa Tanzania, ila inaonyesha serikali hailioni hili.

Barabara ina hitaji kuongezwa njia ili kupunguza foleni na muda wa kukaa bsrabsrani.

Tunapokaribisha wawekezaji bandarini, ili kurahidisha utoaji mizigo, basi uende ssmbamba na upanuzi wa barabara hii.

Kwa sasa barabara hii, Unaweza kupoteza hadi masaa mawili hadi, matatu kwenye folen8i.

SIku nyingine foleni huanzia Buguruni mataa, hadi River side kwa magari yanayoelekea bandarini.

Na yale yanayotoka bandarini, foleni huanzia daraja la kijazi hadi kurasini.

Makutano ya barabara pale Tabata na Buguruni ni sehemu ya kirusi katika barabara hii.

Nawakumbusha tu serikali, hii barabara itazamwe, maana ndiyo lango la uchumi.
 
Tunawajua serikali na mapungufu yao lakini ingependeza na wewe kutokana na uzoefu wako upendekeze njia zinawezo weza kuwa mwarobaini wa foleni hiyo.
 
Barabara ya Mandela hasa kuanzia ubungo hadi bandalini, haikidhi haja kutokana ubebaji wake malori mengi.
Barabara hii ya kimataifa, inayopitisha malori mengi, yakiwemo yanatokea nchi za jirani, ikimbukwe ni lango kuu la uchumi wa Tanzania, ila inaonyesha serikali hailioni hili.

Barabara ina hitaji kuongezwa njia ili kupunguza foleni na muda wa kukaa bsrabsrani.

Tunapokaribisha wawekezaji bandarini, ili kurahidisha utoaji mizigo, basi uende ssmbamba na upanuzi wa barabara hii.

Kwa sasa barabara hii, Unaweza kupoteza hadi masaa mawili hadi, matatu kwenye folen8i.

SIku nyingine foleni huanzia Buguruni mataa, hadi River side kwa magari yanayoelekea bandarini.

Na yale yanayotoka bandarini, foleni huanzia daraja la kijazi hadi kurasini.

Makutano ya barabara pale Tabata na Buguruni ni sehemu ya kirusi katika barabara hii.

Nawakumbusha tu serikali, hii barabara itazamwe, maana ndiyo lango la uchumi.
Mada za maana ni kama hii
 
Barabara ya Mandela hasa kuanzia ubungo hadi bandalini, haikidhi haja kutokana ubebaji wake malori mengi.
Barabara hii ya kimataifa, inayopitisha malori mengi, yakiwemo yanatokea nchi za jirani, ikimbukwe ni lango kuu la uchumi wa Tanzania, ila inaonyesha serikali hailioni hili.

Barabara ina hitaji kuongezwa njia ili kupunguza foleni na muda wa kukaa bsrabsrani.

Tunapokaribisha wawekezaji bandarini, ili kurahidisha utoaji mizigo, basi uende ssmbamba na upanuzi wa barabara hii.

Kwa sasa barabara hii, Unaweza kupoteza hadi masaa mawili hadi, matatu kwenye folen8i.

SIku nyingine foleni huanzia Buguruni mataa, hadi River side kwa magari yanayoelekea bandarini.

Na yale yanayotoka bandarini, foleni huanzia daraja la kijazi hadi kurasini.

Makutano ya barabara pale Tabata na Buguruni ni sehemu ya kirusi katika barabara hii.

Nawakumbusha tu serikali, hii barabara itazamwe, maana ndiyo lango la uchumi.

Sgr inatosha kabisa,pamoja na kujenga bandari kavu ili kupunguza msongamano wa hayo malori bandarini.
 
Kuna namna serikali imekosa ubunifu

Kuna hizi barabara 2;

Ya Maji Chumvi hadi Kimara Korogwe na hii ya Maramba mawili kwenda Mbezi

Kuna namna serikali wakifanya ubunifu zinaweza kuboreshwa zikawa njia nzuri tu za malori badala ya malori yote kutoka bandarini kutegemea Mandela road kupitia Ubungo
 
Sgr inatosha kabisa,pamoja na kujenga bandari kavu ili kupunguza msongamano wa hayo malori bandarini.
Hivi hiyo SGR inachoizidi treni iliopo siyo mwendo kasi na kutumia umeme, au mimi ndiye sielewi.

Naomba ni eleweshwe je itapeleka mizogo ya kongo, burundi, na Rwanda hata malawi na mizigo inayoenda mikoa mbalimbali nchini.
NIlidhani jibu, mbadala, bandari kavu huko mkoani pwani.
 
Hivi hiyo SGR inachoizidi treni iliopo siyo mwendo kasi na kutumia umeme, au mimi ndiye sielewi.

Naomba ni eleweshwe je itapeleka mizogo ya kongo, burundi, na Rwanda hata malawi na mizigo inayoenda mikoa mbalimbali nchini.
NIlidhani jibu, mbadala, bandari kavu huko mkoani pwani.

Mkuu treni ya sgr ukiachana na kasi pia inauwezo wa kubeba mizigo mingi,ni kweli haifiki huko uliko kutaja ila kama ni nchi za uganda,rwanda,burundi na DRC ya kaskazini shehena zao zitashushwa hapo isaka ambapo patajengwa bandari kavu,hivyo kupunguza gharama za usafiri wa kufuata mizigo bandari ya dsm.
 
Hivi hiyo SGR inachoizidi treni iliopo siyo mwendo kasi na kutumia umeme, au mimi ndiye sielewi.

Naomba ni eleweshwe je itapeleka mizogo ya kongo, burundi, na Rwanda hata malawi na mizigo inayoenda mikoa mbalimbali nchini.
NIlidhani jibu, mbadala, bandari kavu huko mkoani pwani.
Jiwe aliipeleka iende kanda ya ziwa, Mwanza

Ila yule mwamba katutia hasara aisee

Wakati wateja wetu wakubwa wa bandari ni DRC, Zambia, Rwanda na Burundi
 
Back
Top Bottom