Serikali kopeni pesa WB/IMF/AfDB mjenge barabara kutoka Mpanda-Iringa-Mtwara ili kuunganisha DRC na Bandari ya Mtwara

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,107
49,809
Nitoe wito Kwa Serikali Kupitia Wizara ya Ujenzi,Wizara ya Mipango na Wizara ya Fedha itafute pesa hata Kwa Mkopo kutoka Taasisi za Kimataifa za Fedha Ili kujenga Barabara ya kimkakati kutoka Mpanda Hadi Mtwara via Iringa.

Kwa nini nasema hiyo ni Barabara ya kimkakati ni Kwa sababu itaunganisha Mikoa ya Kanda ya Magharibi ya Kigoma na Katavi na pia Nchi za DRC na Burundi Moja kwa Moja na Bandari ya Mtwara hivyo kuipunguzia mzigo Dar Port.

Barabara nazopendekeza itaanzia Mpanda-Inyonga-Rungwa JCT-Rungwa GR-Iringa na Kutoka Iringa-Kilolo-Idete-Malinyi-Nyerere NP-Liwale-Mtwara.

Barabara hii itafungua Uchumi mkubwa sana sio tuu Kwa kuunganisha Mikoa 7 ya Kigoma,Katavi,Singida,Mbeya,Iringa,Lindi na Mtwara.Itatumiwa na Malori mengi sana ya DRC kama alternative to Dar Port.

Apart from Kuchochea uchumi pia itakuza Utalii kwenye Hifadhi za Kusini hasa Ruaha & Nyerere.Natambua Kuna Barabara nyingi muhimu Kwa uzalishaji ila hiyo nimeitaja kwangu ni muhimu zaidi Kwa sababu nilizobainisha.
Screenshot_20240412-114625.jpg


My Take
Tuache kuwa na fikra za kisiasa na Upendeleo badala yake tufikirie kimkakati Kwa maslahi ya Nchi.

Kazi imeanza huku 👇👇
Screenshot_20240308-073206.jpg
 
Mada kama hizi zinazochagiza maendeleo hutowakuta Machadema ila Kuombea mabaya Tanzania ndio utawakuta.
 
Hii itakuwa barabara muhimu sana na itafungua mikoa mingi
Tusaidoane kuandika kwenye kurasa za wahusika labda watastuka na kuanza kuwaza Kwa akili badala ya mazoea.

Ilivyo Sasa Kila mradi unaofanywa inafuata route za Wakoloni.Watu Wetu hakuna walichobuni zaidi zaidi kazi Yao ni Kukwamisha na kusema haiwezekani au kuja excuses nyingi za kipumbavu
 
Hiyo project siyo ya kitoto! Kwa jinsi vipaumbele vilivyo vingi, lazima itasubiri sana ukizingatia wanaijenga SGR kutoka Bandari ya Dar to Kigoma then mizigo itaenda DRC kupitia Kigoma badala ya Katavi. Halafu Katazi wakitaka kwenda Dar wanapitia TBR then Dom...

Ila kuiweka katija mipango ya baadae ni nzuri na imekaa poa. Tena inaweza kujengwa hata SGR huko ili kuimarisha usafiri kikamilifu
 
Hiyo project siyo ya kitoto! Kwa jinsi vipaumbele vilivyo vingi, lazima itasubiri sana ukizingatia wanaijenga SGR kutoka Bandari ya Dar to Kigoma then mizigo itaenda DRC kupitia Kigoma badala ya Katavi. Halafu Katazi wakitaka kwenda Dar wanapitia TBR then Dom...

Ila kuiweka katija mipango ya baadae ni nzuri na imekaa poa. Tena inaweza kujengwa hata SGR huko ili kuimarisha usafiri kikamilifu
Tuna Barabara zaidi ya km 4,000 zinaendelea na ujenzi Nchi nzima na Kila mwaka lazima Barabara Mpya zianze Ujenzi so Serikali inaweza Anza ujenzi pole pole japo Usanifu.

Kutoka Mpanda Hadi Inyonga kuna lami,kutoka Iringa kwenda Kilolo ujenzi unaendelea so sections zilizobakia walau Usanifu uanze kufanyika.
 
Kwa sasa wangeliboresha bandari ya Tanga kwanza kwasababu yenyenyewe tayri ime connect barabara zake kutoka bnadarini mpaka Kigoma hapo cha msingi ni kutengeneza barabara nzuri ya kutoka burundi mpaka Mpanda/katavi na kutoka kigoma hadi DRC huku kwingineko ni bomba wafanye hivyo wakiwa wana subiri barabara ya wazo lako kukamilika ita epusha misongamano mikubwa kwneye bandari ya DAM
 
Kwa sasa wangeliboresha bandari ya Tanga kwanza kwasababu yenyenyewe tayri ime connect barabara zake kutoka bnadarini mpaka Kigoma hapo cha msingi ni kutengeneza barabara nzuri ya kutoka burundi mpaka Mpanda/katavi na kutoka kigoma hadi DRC huku kwingineko ni bomba wafanye hivyo wakiwa wana subiri barabara ya wazo lako kukamilika ita epusha misongamano mikubwa kwneye bandari ya DAM
Hakuna Barabara iliyo connect na Bandari ya Tanga.Maboresho ya Bandari ya Tanga yalishakamilika kitambo.

Sana sana ujenzi unaendelea wa barabara ya kutoka Handeni Hadi Singida via Kiberashi-Kiteto.
 
Nitoe wito Kwa Serikali Kupitia Wizara ya Ujenzi,Wizara ya Mipango na Wizara ya Fedha itafute pesa hata Kwa Mkopo kutoka Taasisi za Kimataifa za Fedha Ili kujenga Barabara ya kimkakati kutoka Mpanda Hadi Mtwara via Iringa.

Kwa nini nasema hiyo ni Barabara ya kimkakati ni Kwa sababu itaunganisha Mikoa ya Kanda ya Magharibi ya Kigoma na Katavi na pia Nchi za DRC na Burundi Moja kwa Moja na Bandari ya Mtwara hivyo kuipunguzia mzigo Dar Port.

Barabara nazopendekeza itaanzia Mpanda-Inyonga-Rungwa-Ruaha NP/Rungwa GR-Iringa na Kutoka Iringa-Kilolo-Idete-Malinyi-Nyerere NP-Liwale-Mtwara.

Barabara hii itafungua Uchumi mkubwa sana sio tuu Kwa kuunganisha Mikoa 7 ya Kigoma,Katavi,Singida,Mbeya,Iringa,Lindi na Mtwara.Itatumiwa na Malori mengi sana ya DRC kama alternative to Dar Port.

Apart from Kuchochea uchumi pia itakuza Utalii kwenye Hifadhi za Kusini hasa Ruaha & Nyerere.Natambua Kuna Barabara nyingi muhimu Kwa uzalishaji ila hiyo nimeitaja kwangu ni muhimu zaidi Kwa sababu nilizobainisha.

My Take
Tuache kuwa na fikra za kisiasa na Upendeleo badala yake tufikirie kimkakati Kwa maslahi ya Nchi.
View attachment 2854479
Wakati mwingine uwa unaandika mambo ya msingi
 
Nitoe wito Kwa Serikali Kupitia Wizara ya Ujenzi,Wizara ya Mipango na Wizara ya Fedha itafute pesa hata Kwa Mkopo kutoka Taasisi za Kimataifa za Fedha Ili kujenga Barabara ya kimkakati kutoka Mpanda Hadi Mtwara via Iringa.

Kwa nini nasema hiyo ni Barabara ya kimkakati ni Kwa sababu itaunganisha Mikoa ya Kanda ya Magharibi ya Kigoma na Katavi na pia Nchi za DRC na Burundi Moja kwa Moja na Bandari ya Mtwara hivyo kuipunguzia mzigo Dar Port.

Barabara nazopendekeza itaanzia Mpanda-Inyonga-Rungwa-Ruaha NP/Rungwa GR-Iringa na Kutoka Iringa-Kilolo-Idete-Malinyi-Nyerere NP-Liwale-Mtwara.

Barabara hii itafungua Uchumi mkubwa sana sio tuu Kwa kuunganisha Mikoa 7 ya Kigoma,Katavi,Singida,Mbeya,Iringa,Lindi na Mtwara.Itatumiwa na Malori mengi sana ya DRC kama alternative to Dar Port.

Apart from Kuchochea uchumi pia itakuza Utalii kwenye Hifadhi za Kusini hasa Ruaha & Nyerere.Natambua Kuna Barabara nyingi muhimu Kwa uzalishaji ila hiyo nimeitaja kwangu ni muhimu zaidi Kwa sababu nilizobainisha.

My Take
Tuache kuwa na fikra za kisiasa na Upendeleo badala yake tufikirie kimkakati Kwa maslahi ya Nchi.
View attachment 2854479
Kumbe wanasikia

View: https://twitter.com/__abdulazack/status/1751929105338286350?t=iBMm3Flid8p05yWk4Q-ZZA&s=19
 
Nitoe wito Kwa Serikali Kupitia Wizara ya Ujenzi,Wizara ya Mipango na Wizara ya Fedha itafute pesa hata Kwa Mkopo kutoka Taasisi za Kimataifa za Fedha Ili kujenga Barabara ya kimkakati kutoka Mpanda Hadi Mtwara via Iringa.

Kwa nini nasema hiyo ni Barabara ya kimkakati ni Kwa sababu itaunganisha Mikoa ya Kanda ya Magharibi ya Kigoma na Katavi na pia Nchi za DRC na Burundi Moja kwa Moja na Bandari ya Mtwara hivyo kuipunguzia mzigo Dar Port.

Barabara nazopendekeza itaanzia Mpanda-Inyonga-Rungwa-Ruaha NP/Rungwa GR-Iringa na Kutoka Iringa-Kilolo-Idete-Malinyi-Nyerere NP-Liwale-Mtwara.

Barabara hii itafungua Uchumi mkubwa sana sio tuu Kwa kuunganisha Mikoa 7 ya Kigoma,Katavi,Singida,Mbeya,Iringa,Lindi na Mtwara.Itatumiwa na Malori mengi sana ya DRC kama alternative to Dar Port.

Apart from Kuchochea uchumi pia itakuza Utalii kwenye Hifadhi za Kusini hasa Ruaha & Nyerere.Natambua Kuna Barabara nyingi muhimu Kwa uzalishaji ila hiyo nimeitaja kwangu ni muhimu zaidi Kwa sababu nilizobainisha.

My Take
Tuache kuwa na fikra za kisiasa na Upendeleo badala yake tufikirie kimkakati Kwa maslahi ya Nchi.
View attachment 2854479
Bonge la wazo
Lakini kwa roho za watawala wetu
Yaweza kuwa ndogo
 
Nitoe wito Kwa Serikali Kupitia Wizara ya Ujenzi,Wizara ya Mipango na Wizara ya Fedha itafute pesa hata Kwa Mkopo kutoka Taasisi za Kimataifa za Fedha Ili kujenga Barabara ya kimkakati kutoka Mpanda Hadi Mtwara via Iringa.

Kwa nini nasema hiyo ni Barabara ya kimkakati ni Kwa sababu itaunganisha Mikoa ya Kanda ya Magharibi ya Kigoma na Katavi na pia Nchi za DRC na Burundi Moja kwa Moja na Bandari ya Mtwara hivyo kuipunguzia mzigo Dar Port.

Barabara nazopendekeza itaanzia Mpanda-Inyonga-Rungwa-Ruaha NP/Rungwa GR-Iringa na Kutoka Iringa-Kilolo-Idete-Malinyi-Nyerere NP-Liwale-Mtwara.

Barabara hii itafungua Uchumi mkubwa sana sio tuu Kwa kuunganisha Mikoa 7 ya Kigoma,Katavi,Singida,Mbeya,Iringa,Lindi na Mtwara.Itatumiwa na Malori mengi sana ya DRC kama alternative to Dar Port.

Apart from Kuchochea uchumi pia itakuza Utalii kwenye Hifadhi za Kusini hasa Ruaha & Nyerere.Natambua Kuna Barabara nyingi muhimu Kwa uzalishaji ila hiyo nimeitaja kwangu ni muhimu zaidi Kwa sababu nilizobainisha.

My Take
Tuache kuwa na fikra za kisiasa na Upendeleo badala yake tufikirie kimkakati Kwa maslahi ya Nchi.
View attachment 2854479
Kazi imeanza 👇

View: https://www.instagram.com/p/C3Z1XM4sb7J/?igsh=Z3J6OTJzaXNwMzlj
 
Nitoe wito Kwa Serikali Kupitia Wizara ya Ujenzi,Wizara ya Mipango na Wizara ya Fedha itafute pesa hata Kwa Mkopo kutoka Taasisi za Kimataifa za Fedha Ili kujenga Barabara ya kimkakati kutoka Mpanda Hadi Mtwara via Iringa.

Kwa nini nasema hiyo ni Barabara ya kimkakati ni Kwa sababu itaunganisha Mikoa ya Kanda ya Magharibi ya Kigoma na Katavi na pia Nchi za DRC na Burundi Moja kwa Moja na Bandari ya Mtwara hivyo kuipunguzia mzigo Dar Port.

Barabara nazopendekeza itaanzia Mpanda-Inyonga-Rungwa-Ruaha NP/Rungwa GR-Iringa na Kutoka Iringa-Kilolo-Idete-Malinyi-Nyerere NP-Liwale-Mtwara.

Barabara hii itafungua Uchumi mkubwa sana sio tuu Kwa kuunganisha Mikoa 7 ya Kigoma,Katavi,Singida,Mbeya,Iringa,Lindi na Mtwara.Itatumiwa na Malori mengi sana ya DRC kama alternative to Dar Port.

Apart from Kuchochea uchumi pia itakuza Utalii kwenye Hifadhi za Kusini hasa Ruaha & Nyerere.Natambua Kuna Barabara nyingi muhimu Kwa uzalishaji ila hiyo nimeitaja kwangu ni muhimu zaidi Kwa sababu nilizobainisha.

My Take
Tuache kuwa na fikra za kisiasa na Upendeleo badala yake tufikirie kimkakati Kwa maslahi ya Nchi.
View attachment 2854479
Hivi hakuna namna hizo barabara zisikatishe ndani ya hifadhi hizo mbili na badala yake zipite pembeni kidogo
 
Back
Top Bottom