William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
- Wakuu JF, tuna habari za huzuni kwamba Mwanasiasa wa siku nyingi sana toka enzi za Mwalimu, amefariki dunia leo asubuhi sana. Tutawaletea habari zaidi za msiba na matayarisho ya mazishi.
- Mungu amuweke mahali pema peponi na poleni sana kwa familia na hasa Mkulu Oscar, tupo pamoja sana mkuu katika maombolezo.
Respect.
Field Marshall Es.
- Mungu amuweke mahali pema peponi na poleni sana kwa familia na hasa Mkulu Oscar, tupo pamoja sana mkuu katika maombolezo.
Respect.
Field Marshall Es.