Balozi Ngaiza Afariki dunia!

Mungu ailaze roho yake, mahala pema peponi, namkumbuka Alikua mpambanaji mpigania haki, ni mzalendo wa kweli mpenda maendeleo ya wananchi wenzake, wa Muleba KAskazini, alikuwa Mjumbe mwenzetu wa Kamati Kuu CHADEMA, hadi mauti yanamfika alikua ni Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya CHADEMA, tutamkumbuka kwa mengi sana Balozi Ngaiza hasa yalipokuwa mazito yanatokea ndani ya chama alikuwa mhimili mkubwa sana, Mzee Ngaaiza umetuacha tangulia nenda salama tupo nyuma yako na sisi tutakufuata Mungu ailaze roho yako mahala pema Peponi.
 
R.I.P Ngaiza!! Ila nimejaribu kupitia post zote, mbona sijaona post iliyobeba lugha ya matusi? Nafikiri kuna member alitaka kupata habari kamilifu zaidi!!! Hapa ni maombolezo ya mzee wetu na tofauti nyinginezo zinapaswa kupelekwa "PM" kama kuna uhitaji huo.Ni mtizamo wangu tu nisije nikatupiwa maneno ya kejeli. Mambo yote kistaarabu inapendeza ndani ya PM!!! Nikimuudhi mtu hapa kwa bahati mbaya (mimi si malaika) naomba wasilina kwa PM tutaelewana tu, I am over 18 years old!!! Ha ha ha!!
 
R.I.P Ngaiza!! Ila nimejaribu kupitia post zote, mbona sijaona post iliyobeba lugha ya matusi? Nafiriki kuna member alitaka kupata habari kamilifu zaidi!!! Hapa ni maombolezo ya ,zee wetu na tofauti nyinginezo zinapaswa kupelekwa "PM" kama kuna uhitaji huo.Ni mtizamo wangu tu nisije nikatupiwa maneno ya kejeli. Mambo yote kistaarabu inapendeza ndani ya PM!!! Nikimuudhi mtu hapa kwa bahati mbaya (mimi si malaika) naomba wasilina kwa PM tutaelewana tu, I am over 18 years old!!! Ha ha ha!!

Maane,
Marehemu Ngaiza Alale peme(amin) Na sisi tuendelee na mijadala kwa kupeana Uhuru na Haki zinazostahiki. Aliyehoji kutaka habari kamilifu (Mtu mmoja) sidhani kama ana kosa. Wasiwasi ni kwa mtoa hoja twaweza kuuliza alikuwa na haraka gani mpaka atume post yake ikiwa na udhaifu unaozungumziwa kuwa si kamilifu
 
R.I.P Ngaiza!! Ila nimejaribu kupitia post zote, mbona sijaona post iliyobeba lugha ya matusi? Nafikiri kuna member alitaka kupata habari kamilifu zaidi!!! Hapa ni maombolezo ya mzee wetu na tofauti nyinginezo zinapaswa kupelekwa "PM" kama kuna uhitaji huo.Ni mtizamo wangu tu nisije nikatupiwa maneno ya kejeli. Mambo yote kistaarabu inapendeza ndani ya PM!!! Nikimuudhi mtu hapa kwa bahati mbaya (mimi si malaika) naomba wasilina kwa PM tutaelewana tu, I am over 18 years old!!! Ha ha ha!!
Hujaona post yenye matusi? angalia post # 6
 
Hujaona post yenye matusi? angalia post # 6

Mkuu niliposoma hiyo post no. 6 ndipo ikabidi nipitie zote maana yaliyoandikwa pala kidogo yalinichanganya. Ndipo ikanilazimu kusema kuwa nimepitia post zote(hapa ni exclude na. 6) lakini sijaona matusi!!!! Hebu tupendane na kuheshimiana tu!!! Unajua hata wale wageni wanaopita hapa tutawakatisha tamaa au kuwahamasisha wajiunge hapa kutokana na yale yanayotokana na mawazo na keyboards zetu!!!
 
RIP Balozi Ngaiza. Tunawatakia amani na uvumilivu familia na ndugu katika kipindi hiki kigumu.
 
TUKUMBUSHANE TOKA JAMII FORUM
kesi ya uhaini iliamuliwa na Jaji Kiongozi Nassoro Mzavas[r.i.p].

..kulikuwa na vifungo tofauti, lakini cha juu kabisa ilikuwa maisha. pia wapo washitakiwa walioachiwa huru.

..kesi ile ilitusisimua sana tuliokuwa tukiifuatilia. upande wa utetezi ulikuwa na mawakili machachari sana kama Murtaza Lakha, Hussein Muccadam, Tarimo,...

..nadhani wengi tulikuwa tunastaajabu jinsi mawakili hao walivyokuwa wakiwahoji mashahidi wa serikali. kwetu sisi ilionekana kama wanaihoji serikali yenyewe!! kwangu mimi ilikuwa ni kitendo cha ajabu kwelikweli.

..upande wa mashtaka nao ulikuwa haujachacha. nadhani mwendesha mashtaka mkuu alikuwa William Sekule, akisaidiwa na wengine kama Mwanyika[ ag wa sasa].

..kwa mtizamo wangu upande wa mashtaka ukiongozwa na William Sekule made very strong closing arguments na hilo lilisaidia ktk kushinda kesi.

..washitakiwa ninaowakumbuka ni: Thomas Lugakingira, Hatibu Gandhi/Hatty McGhee, Suleiman Kamando, Badru Rwechungura Kajaja, Deutrich Mbogoro, vijana wawili wa familia ya Hans Pope. wengine walikuwa Banyikwa[if not mistaken walikuwa mtu na mkewe], na Ngaiza.

..Hans Pope alikuwa ni afisa wa Polisi ambaye alitekwa nyara na majeshi ya Amini na kuuwawa Uganda. mwili wake nadhani ulipatikana baada ya majeshi yetu kuingia Uganda. vijana wake ndiyo hao walioshtakiwa kwa uhaini.

..washitakiwa wa Uhaini waliachiwa huru wakati Raisi Mwinyi anaondoka madarakani.



Quote:
Originally Posted by son-of-alaska
nilisikia one uncle tom,alitoroka gerezani kwa kutumia presidential motorcade,

..Uncle Tom Lugakingira, pamoja na Hatibu Gandhi, walitoroka toka rumande[ukonga au keko]. walitorokea Kenya, na nadhani walipitia mpaka wa horohoro[sina uhakika].

..Uncle Tom alikuwa na pesa hivyo moja kwa moja akakimbilia UK. Hatibu Gandhi aliendelea kuzubaa Kenya, akaja kuwa exchanged na wahaini[ochuka,...] wa Kenya waliotorokea Tanzania.

..ni kipindi hicho hicho Moi alipinduliwa na askari wa jeshi la anga. kiongozi wao alikuwa ni Mjaluo. tuliofuatilia redio kenya tulijuwa it was over for Moi, lakini baadaye tukasikia tangazo toka kwa Maj.Gen.Joseph Mulinge kwamba jaribio limezimwa.


Quote:
Originally Posted by son-of-alaska
alaafu nikasikia,katika hawa kulikuwa na commando,ambaye aliuwawa baada ya gunfight kubwa mitaa ya kinondoni.

..Commandoo aliyeuawa alikuwa akijulikana kama Mussa Tamimu. maofisa usalama walijaribu kumkamata maeneo ya mwananyamala lakini akawaponyoka. baadaye walimkimbiza akarukia pickup iliyobeba bia na kuanza kuwarushia maofisa usalama. baada ya hapo alipigwa risasi na kufariki.


NB:

..FMES amemchanganya Cpt.Tamimu na jambazi sugu aliyekuwa akiijulikana kwa nickname Nyau. jina lake lilikuwa Hamisi .... "nyau."

..Nyau pamoja na majambazi wenzake 19 walitoroka gerezani Ukonga. sina uhakika walitoroka vipi. serikali ilifanya shake up kubwa sana Magereza ambapo Mkuu wao alipoteza kazi.

..baada ya hapo vitendo vya ujambazi na hali ya wasiwasi ilitawala jiji zima la DSM na vitongoji vyake. road blocks zilikuwepo kila mahali, na msako mkubwa ulifanyika.

..ujambazi ulitokana na matokeo ya vita vya Kagera. maisha yalikuwa magumu sana, na kulikuwa na askari wengi, haswa mgambo, waliorudi nyumbani na kuwa-released toka jeshini.

https://www.jamiiforums.com/277244-post409.html
 
TUKUMBUSHANE TOKA JAMII FORUM
kesi ya uhaini iliamuliwa na Jaji Kiongozi Nassoro Mzavas[r.i.p].

..kulikuwa na vifungo tofauti, lakini cha juu kabisa ilikuwa maisha. pia wapo washitakiwa walioachiwa huru.

..kesi ile ilitusisimua sana tuliokuwa tukiifuatilia. upande wa utetezi ulikuwa na mawakili machachari sana kama Murtaza Lakha, Hussein Muccadam, Tarimo,...

..nadhani wengi tulikuwa tunastaajabu jinsi mawakili hao walivyokuwa wakiwahoji mashahidi wa serikali. kwetu sisi ilionekana kama wanaihoji serikali yenyewe!! kwangu mimi ilikuwa ni kitendo cha ajabu kwelikweli.

..upande wa mashtaka nao ulikuwa haujachacha. nadhani mwendesha mashtaka mkuu alikuwa William Sekule, akisaidiwa na wengine kama Mwanyika[ ag wa sasa].

..kwa mtizamo wangu upande wa mashtaka ukiongozwa na William Sekule made very strong closing arguments na hilo lilisaidia ktk kushinda kesi.

..washitakiwa ninaowakumbuka ni: Thomas Lugakingira, Hatibu Gandhi/Hatty McGhee, Suleiman Kamando, Badru Rwechungura Kajaja, Deutrich Mbogoro, vijana wawili wa familia ya Hans Pope. wengine walikuwa Banyikwa[if not mistaken walikuwa mtu na mkewe], na Ngaiza.

..Hans Pope alikuwa ni afisa wa Polisi ambaye alitekwa nyara na majeshi ya Amini na kuuwawa Uganda. mwili wake nadhani ulipatikana baada ya majeshi yetu kuingia Uganda. vijana wake ndiyo hao walioshtakiwa kwa uhaini.

..washitakiwa wa Uhaini waliachiwa huru wakati Raisi Mwinyi anaondoka madarakani.



Quote:
Originally Posted by son-of-alaska
nilisikia one uncle tom,alitoroka gerezani kwa kutumia presidential motorcade,

..Uncle Tom Lugakingira, pamoja na Hatibu Gandhi, walitoroka toka rumande[ukonga au keko]. walitorokea Kenya, na nadhani walipitia mpaka wa horohoro[sina uhakika].

..Uncle Tom alikuwa na pesa hivyo moja kwa moja akakimbilia UK. Hatibu Gandhi aliendelea kuzubaa Kenya, akaja kuwa exchanged na wahaini[ochuka,...] wa Kenya waliotorokea Tanzania.

..ni kipindi hicho hicho Moi alipinduliwa na askari wa jeshi la anga. kiongozi wao alikuwa ni Mjaluo. tuliofuatilia redio kenya tulijuwa it was over for Moi, lakini baadaye tukasikia tangazo toka kwa Maj.Gen.Joseph Mulinge kwamba jaribio limezimwa.


Quote:
Originally Posted by son-of-alaska
alaafu nikasikia,katika hawa kulikuwa na commando,ambaye aliuwawa baada ya gunfight kubwa mitaa ya kinondoni.

..Commandoo aliyeuawa alikuwa akijulikana kama Mussa Tamimu. maofisa usalama walijaribu kumkamata maeneo ya mwananyamala lakini akawaponyoka. baadaye walimkimbiza akarukia pickup iliyobeba bia na kuanza kuwarushia maofisa usalama. baada ya hapo alipigwa risasi na kufariki.


NB:

..FMES amemchanganya Cpt.Tamimu na jambazi sugu aliyekuwa akiijulikana kwa nickname Nyau. jina lake lilikuwa Hamisi .... "nyau."

..Nyau pamoja na majambazi wenzake 19 walitoroka gerezani Ukonga. sina uhakika walitoroka vipi. serikali ilifanya shake up kubwa sana Magereza ambapo Mkuu wao alipoteza kazi.

..baada ya hapo vitendo vya ujambazi na hali ya wasiwasi ilitawala jiji zima la DSM na vitongoji vyake. road blocks zilikuwepo kila mahali, na msako mkubwa ulifanyika.

..ujambazi ulitokana na matokeo ya vita vya Kagera. maisha yalikuwa magumu sana, na kulikuwa na askari wengi, haswa mgambo, waliorudi nyumbani na kuwa-released toka jeshini.

https://www.jamiiforums.com/277244-post409.html

and the story above is very important to note!.................RIP Ngaiza
 
RIP Ambassador, umetekeleza wajibu wako hapa duniani...pengo lako ni kubwa.Jina la bwana lihimidiwe
 
R.I.P. komredi Ngaiza. Tulikupenda Bwana amekupenda zaidi, na mauti inatosha kuwa ukumbusho kwamba kila nafsi itaonja mauti nasi tutapita mlango huo.
 
Back
Top Bottom