Hamad Yussuf
Member
- Mar 31, 2008
- 25
- 0
Mungu ailaze roho yake, mahala pema peponi, namkumbuka Alikua mpambanaji mpigania haki, ni mzalendo wa kweli mpenda maendeleo ya wananchi wenzake, wa Muleba KAskazini, alikuwa Mjumbe mwenzetu wa Kamati Kuu CHADEMA, hadi mauti yanamfika alikua ni Mjumbe wa Bodi ya Wadhamini ya CHADEMA, tutamkumbuka kwa mengi sana Balozi Ngaiza hasa yalipokuwa mazito yanatokea ndani ya chama alikuwa mhimili mkubwa sana, Mzee Ngaaiza umetuacha tangulia nenda salama tupo nyuma yako na sisi tutakufuata Mungu ailaze roho yako mahala pema Peponi.