Kwa hiyo haulaani mauaji ya Arusha kwa vile tu wakatoliki wamelaani? Halafu unajigamba kuwa haufuati mkumbo!
Amandla.....
Hapana Fundi Mchundo!!!,
Pitia thread zangu za nyuma nimeyalaani na kila mtanzania anapaswa kuyalaaani ila nachokipinga ni UNAFIKI WA KANISA KATOLIKI, kama unakumbuka mauaji ya mwembechai alitokea kasisi mmoja akadai serikali iwashungulikie waislamu, sasa leo imetokea arusha wanalaani. This is double standard. Sidhani wewe kama fundi mchundo utakubaliana nalo unless wewe huna morals!!!