I have found the fool, YOU!! Hiyo ni research imefanywa na msomi, katoa sababu, za muda mrefu na mfupi, SI ZAKE, kazitoa kwa WAISLAMU wenyewe!!...sasa je, wao (WAISLAM) waliwahi kufanya research ya UKWELI kuainisha hayo madai waliyotoa?? Au ni malalamiko tu, wakiacha watoto wao wakikomaa katika elimu Ahera, wakati watoto wa Kikristu wakisoma Elimu ya Duniani... Wakristo wanaendesha shule na taasisi za Elimu kibao, kwa mwenendo wa kulalamika tutafika? Tangu Mkapa katoa majengo ya TANESCO pale Moro, campus/colleges ngapi zimeongezwa?? Unafahamu Tumaini na St. Augustine wana college hadi Tabora na Mtwara, upande wa pili?? Tuache giza na malalamiko bila research/data, kama Waislam wa siku hizi si kama wa zamani, niletee takwimu hapa za discrimination, si hearsay tu!!!
Crap wewe kweli ni juha. Nondo umeitoa mwenyewe halafu unaanza kuipinga what a nincamput!!! Endelea kuulizia Bakwata nishakuambia wako busy wafate KKKT wakupe tamko usitufatefate. Ukitaka mtazamo wangu nayapinga mauaji kwa vile serikali imetumia nguvu isiyokuwa na ulazima but kama taasisi ya kidini napinga wasitoe tamko maana hakuna haja.