BAKWATA na Mauaji Arusha

I have found the fool, YOU!! Hiyo ni research imefanywa na msomi, katoa sababu, za muda mrefu na mfupi, SI ZAKE, kazitoa kwa WAISLAMU wenyewe!!...sasa je, wao (WAISLAM) waliwahi kufanya research ya UKWELI kuainisha hayo madai waliyotoa?? Au ni malalamiko tu, wakiacha watoto wao wakikomaa katika elimu Ahera, wakati watoto wa Kikristu wakisoma Elimu ya Duniani... Wakristo wanaendesha shule na taasisi za Elimu kibao, kwa mwenendo wa kulalamika tutafika? Tangu Mkapa katoa majengo ya TANESCO pale Moro, campus/colleges ngapi zimeongezwa?? Unafahamu Tumaini na St. Augustine wana college hadi Tabora na Mtwara, upande wa pili?? Tuache giza na malalamiko bila research/data, kama Waislam wa siku hizi si kama wa zamani, niletee takwimu hapa za discrimination, si hearsay tu!!!

Crap wewe kweli ni juha. Nondo umeitoa mwenyewe halafu unaanza kuipinga what a nincamput!!! Endelea kuulizia Bakwata nishakuambia wako busy wafate KKKT wakupe tamko usitufatefate. Ukitaka mtazamo wangu nayapinga mauaji kwa vile serikali imetumia nguvu isiyokuwa na ulazima but kama taasisi ya kidini napinga wasitoe tamko maana hakuna haja.
 
Lakini kwa nini unakazania Kanisa Katoliki likuombe msamaha? Yule hakuwa mwakilishi wa kanisa alipotoa maneno hayo sasa kwa nini Kanisa lihusishwe? Hivi kweli kila ambapo kasisi, buruda au mkatoliki mwingine akifanya kosa itakuwa haki Pope au Kadinali aombe msamaha? Mabaya mangapi wanafanya waislamu lakini hatuwasikii viongozi wao wakiyalaani? Ni hivyo hivyo ilivyo kwa wakristu. Wako wanaofanya maovu mengi tu lakini hauwezi kuhukumu kanisa zima. Kanisa halina ugomvi na waislamu sasa hiyo reconcilation ya nini? Au waislamu mna ugomvi na kanisa?

Amandla.......
Huku kuzungukazunguka hakutusaidii katka hoja iliyopo. Hii thread ilianzishwa kwa kulitaja BAKWATA ikizaniwa kuwa ni chombo kinachowakilisha Waislamu. Kwa punzi kama yako tunaweza kusema kuwa BAKWATA haiwakilishi maoni ya Waislamu na kulitaka Baraza hili ambalo si chochote kutowa tamko ni wehu tu!
 
Huku kuzungukazunguka hakutusaidii katka hoja iliyopo. Hii thread ilianzishwa kwa kulitaja BAKWATA ikizaniwa kuwa ni chombo kinachowakilisha Waislamu. Kwa punzi kama yako tunaweza kusema kuwa BAKWATA haiwakilishi maoni ya Waislamu na kulitaka Baraza hili ambalo si chochote kutowa tamko ni wehu tu!

Sasa si mngemjibu hivyo tokea mwanzo? Haya mengine yote ya nini?

Amandla....
 
Hivi Bakwata waliwahi kuiomba msamaha jamii ya watanzania kwa kiendo cha Fupi na wenzake kulipua ubalozi wa Marekani? Au waliokufa na kujeruhiwa hawakuwa watanzania au watu? Mnaona how ridiculous hii blame game inavyoweza kuwa?

Amandla......

Hivyo wale wauwaji wa Maalbino (hawakuwa waislamu) walishatuomba radhi? Duh hata mimi nahisi umeshakasirika!
 
Hivyo wale wauwaji wa Maalbino (hawakuwa waislamu) walishatuomba radhi? Duh hata mimi nahisi umeshakasirika!

Mbona unatapatapa? Unataka kutuambia wauaji wote wa maalbino ni wakatoliki na maalbino wote waliouawa ni waislamu? Madai kama haya ndiyo yanayowafanya mkose credibility.

Kipi cha kunikasirisha humu?

Amandla....
 
Hukukipenda toka mwanzo. Na hautashambuliwa kwa sababu ni muislamu, utashambuliwa kwa kutoa hoja dhaifu. Kama haja yako ni kwenda mahali ambapo waislamu hawashambuliwi, hapa si pako. Kila mtu anashambuliwa bila kujali dini yao.

Amandla....
Huwa nakubali michango yako mingi ambayo huwa inajikita kwenye fact-lakini hii leo ni zero tena beyond pumba za mtama. Mkuu why unataka kupingana na facts?
 
Hawana cha kutoa tamko hao, kwanza ndio wanafurahi.... Hivi ujui kuwa imani yao ina jenga chuki wa krt na isitoshe waliokufu ni wafuhasi wa Cdm na sio CUF.

Wangelikufa wafuasi wa CUF ungelisikia humu JF. Wengine wangelisema wamezidi kiherehere tu hao!!! But la msingi watu wanasahau sisi sote ni watanzania na sio vyengine. Sasa basi tusitafute kuchokoana ukweli unabaki pale pale tuache unafiki kama mnataka Tamko la Bakwata basi lingeanza Tamko la Kanisa Katoliki na mengineyo kuhusu mwembechai, na Pemba venginevyo wako busy na mchakato wa Katiba, kadhi, OIC na mustakbali wa waislamu....
 
Mbona unatapatapa? Unataka kutuambia wauaji wote wa maalbino ni wakatoliki na maalbino wote waliouawa ni waislamu? Madai kama haya ndiyo yanayowafanya mkose credibility.

Kipi cha kunikasirisha humu?

Amandla....

Kwani wale waliouwa ubalozi wa Marekani ni Wakristo peke yao? Hivyo bado hujaelewa bado utumbo wako uliuanika? Unapozungumza kuombwa radhi na BAKWATA eti Muislamu alifanya uharamia sasa unakatalia nini kukubali kuwa Kanisa libebe msalaba wa waumini wao wanaouwa Maalbino> Nafikiri utumbo unajichakachua!1
 
Wangelikufa wafuasi wa CUF ungelisikia humu JF. Wengine wangelisema wamezidi kiherehere tu hao!!! But la msingi watu wanasahau sisi sote ni watanzania na sio vyengine. Sasa basi tusitafute kuchokoana ukweli unabaki pale pale tuache unafiki kama mnataka Tamko la Bakwata basi lingeanza Tamko la Kanisa Katoliki na mengineyo kuhusu mwembechai, na Pemba venginevyo wako busy na mchakato wa Katiba, kadhi, OIC na mustakbali wa waislamu....

Kweli wangekufa wafuasi wa CUF wako ambao wangefurahia. Lakini si lazima kuwa wote watakaofanya hivyo watakuwa wakatoliki. Walipouawa watu Pemba wako waunguja waliofurahia. Hao hawakuwa wakristu! Walipokufa watu Mwembechai wako waislamu waliofurahia. Vile vile kama ilivyo huko Arusha. Wako wakristu waliofurahia. Wengi wanaofanya hivi hawafanyi hivyo kwa misingi ya dini bali tofauti za kisiasa na kiutawala. Sasa nyinyi kama kila kitu mtangoja Kanisa katoliki lifanye uamuzi ndiyo m-react hamtakuwa watu wa principle. Kama principle zako zinachukia raia asie na hatia kuuawa basi utamlaani yeyote atakayemuua bila kujali kama aliyefanya hivyo ni mkristu, muislamu, mhindu, rasta au asiye na dini. Na utafanya hivyo bila kujali kuwa yule aliyeuawa hakulaani wakati ndugu yako alipouliwa. Kufanya tofauti na hivyo kunaonyesha kuwa principle zako zina walakin maana zinakuja na bei.

Amandla.....
 
Baadhi ya Wana CHADEMA wanaposti post za kuegemea upande mmoja wa dini lakini kwa vile nawe umeshaonyesha kuegemea pia basi tukuache tu uanike.............

Hizo ndizo facts unazodai? Kuwa wanaChadema wanaegemea upande mmoja? Sasa napingana nazo vipi?

Amandla.....
 
Kweli wangekufa wafuasi wa CUF wako ambao wangefurahia. Lakini si lazima kuwa wote watakaofanya hivyo watakuwa wakatoliki. Walipouawa watu Pemba wako waunguja waliofurahia. Hao hawakuwa wakristu! Walipokufa watu Mwembechai wako waislamu waliofurahia. Vile vile kama ilivyo huko Arusha. Wako wakristu waliofurahia. Wengi wanaofanya hivi hawafanyi hivyo kwa misingi ya dini bali tofauti za kisiasa na kiutawala. Sasa nyinyi kama kila kitu mtangoja Kanisa katoliki lifanye uamuzi ndiyo m-react hamtakuwa watu wa principle. Kama principle zako zinachukia raia asie na hatia kuuawa basi utamlaani yeyote atakayemuua bila kujali kama aliyefanya hivyo ni mkristu, muislamu, mhindu, rasta au asiye na dini. Na utafanya hivyo bila kujali kuwa yule aliyeuawa hakulaani wakati ndugu yako alipouliwa. Kufanya tofauti na hivyo kunaonyesha kuwa principle zako zina walakin maana zinakuja na bei.

Amandla.....

Unashangaa watu kukushangaa kumbe huelewi nini kinachojiri kwenye thread! Kama ungefuatilia kwa makini basi haya maswali unayoyauliza pengine ungeyauliza kwa alieanzisha thread!
 
Kweli wangekufa wafuasi wa CUF wako ambao wangefurahia. Lakini si lazima kuwa wote watakaofanya hivyo watakuwa wakatoliki. Walipouawa watu Pemba wako waunguja waliofurahia. Hao hawakuwa wakristu! Walipokufa watu Mwembechai wako waislamu waliofurahia. Vile vile kama ilivyo huko Arusha. Wako wakristu waliofurahia. Wengi wanaofanya hivi hawafanyi hivyo kwa misingi ya dini bali tofauti za kisiasa na kiutawala. Sasa nyinyi kama kila kitu mtangoja Kanisa katoliki lifanye uamuzi ndiyo m-react hamtakuwa watu wa principle. Kama principle zako zinachukia raia asie na hatia kuuawa basi utamlaani yeyote atakayemuua bila kujali kama aliyefanya hivyo ni mkristu, muislamu, mhindu, rasta au asiye na dini. Na utafanya hivyo bila kujali kuwa yule aliyeuawa hakulaani wakati ndugu yako alipouliwa. Kufanya tofauti na hivyo kunaonyesha kuwa principle zako zina walakin maana zinakuja na bei.

Amandla.....

So kama principle nimtu basi swali limrudie muulizaji kwanini unawauliza bakwata?
 
Crap wewe kweli ni juha. Nondo umeitoa mwenyewe halafu unaanza kuipinga what a nincamput!!! Endelea kuulizia Bakwata nishakuambia wako busy wafate KKKT wakupe tamko usitufatefate. Ukitaka mtazamo wangu nayapinga mauaji kwa vile serikali imetumia nguvu isiyokuwa na ulazima but kama taasisi ya kidini napinga wasitoe tamko maana hakuna haja.

Nashindwa kukutofautisha na mbuzi akiona majani....sikiliza mbwiga, aliyefanya research ni msomi toka UDSM, findings za research yake ni kutoka kwenye jamii ya Waislam, kwa kuona, kuuliza, au kusikia...JE, JAMII YA WAISLAM IMEWAHI KUTOA KITU SUBSTANTIVE TO BACK THEIR CLAIMS???????? Au ni kulia tu Wakristu wanapendelewa?? Nimesoma O-Level in 1990s, tena ktk mkoa wenye Muslim population kubwa, darasani walikua hawazd 8 ktk darasa la watu 35,hapo mnamlaumu nani?? Na ktk hao 8, wengi walikua ni watoro,shule wanakuja ktk UMISETA, (ni wachezaji wazuri sana).....akili za aina hii mwisho malalamiko?? Amka tafadhali...
 
Back
Top Bottom