Bahari ni kiboko ya usafiri wa wachawi

mshanna msimjibu huyu mtu.labda ni jini lina lengo la kutuamisha kwenye mada.siku izi nayo yapo humu jf mengi tu
 
Mshana Jr.Je kuna ukweli wowote kuhusu habari iliyotapakaa kuhusu kifo ya Muigizaji Steven Kanumba?kwamba alikuwa mfuasi wa "Free Mansons?". Na kwamba alimuagiza mtu atangaze hivyo baada ya kifo chake ili kuvunja maagano na nguvu za hao "free Mansons?"
 
Mshana Jr.Je kuna ukweli wowote kuhusu habari iliyotapakaa kuhusu kifo ya Muigizaji Steven Kanumba?kwamba alikuwa mfuasi wa "Free Mansons?". Na kwamba alimuagiza mtu atangaze hivyo baada ya kifo chake ili kuvunja maagano na nguvu za hao "free Mansons?"
Hapana hakuna ukweli wowote kuhusu hilo ile ni freemason ya magazeti ya udaku ambayo ndio wengi wanaifahamu Tz
 
Sitaki kuamini kama huyo cleva ndio feiza hahahah,au umepiga ikulu yake bhana,kuwa makini,unaweza kuta jinsi unavyotoa details ye anaumia na kujiuliza huyu jamaa anatoa wapi Haya mambo yetu ya siri?be careful vigagura wapo humu na mmoja wapo yaweza kua Ni uyoo Mr cleva
 
Kuna njia kuu tatu zinazotumiwa na mwanadamu kwa ajili ya usafiri yani kutoa sehemu moja mpaka nyingine nazo ni maji anga na ardhi .

Lakini kwa mchawi ni mbili anga na ardhi , majini wengi wanaikwepa na kuiogopa hasa na wale wachache wanaitumia ni mpaka wapate kibali cha ufalme wa majini .

Mchawi atatumia ungo-hii ni advanced tech ya usafiri na inajumuisha mambo mengi ila ni salama na ni ya haraka zaidi kama ulivyo usafiri wa ndege za kawaida pia ni usafiri wa masafa marefu
Usafiri mwingine ni wa ardhini huu hauna hatari nyingi na gharama pia ni ndogo , chombo chake kwa sehemu kubwa ni Mnyama fisi, tatizo moja la huu usafiri ni inland routes tena za masafa mafupi na wachawi daraja la chini .

Lakini ni mara ngapi umeshasikia usafiri wa wachawi baharini? Ni aghalabu kusikia hii kitu hata kutumia mazao bahari kama makombe na samaki kwenye shughuli za kiganga ni mara chache mno.

Sababu moja kuu ni kwamba maji ndio yanayotajwa la dunia robo tatu ya uso wa dunia ni maji na hata mwili wako pia, kwahiyo ufalme wa maji kwa maana ya majini ndio ufalme wa giza wenye nguvu zaidi na sophisticated zaidi kiasi kwamba ufalme wa giza wa ardhini unapwaya na kugwaya kwa ufalme wa maji .

Ndio maana huwezi kusikia hata siku moja eti mchawi kaanguka baharini au kuna chombo kinachotumiwa na wachawi kusafiria baharini.
nasikia majini ndio wanatawala bahari,je hawana ushirikiano na wachawi?na majini si ndio huwa wanaitwa mapepo?mwaga mambo hapo ili tukupate vyema
 
Nikiendelea kubishana na mtu aliyejaa pumba kichwani kila mtu atanishangaa.
Wewe mpumbavu ulikuja spidi ulifikiri ni rahisi,umedandia treni kwa mbele mwisho umeamua kuachia! Siku nyingine jipange kwanza sio kukurupuka kama Kichaa aliyesikia honi ya treni.
 
nasikia majini ndio wanatawala bahari,je hawana ushirikiano na wachawi?na majini si ndio huwa wanaitwa mapepo?mwaga mambo hapo ili tukupate vyema
Majini na mapepo ni jamii moja wa nguvu kiasili kwakuwa wao ni roho wakati wachawi ni binadamu wanaojaribu kutengeneza roho za kishirikina
 
ukweli ni upi??hebu kidogo tudadavulie kwa mifano hai
Mambo ya freemason viapo maagano ibada na hukumu zao ni vitu visivyojulikana kutokana na usiri unaotawala...hata haya tunayoandika ni mambo ya juu juu tu
 
Majini na mapepo ni jamii moja wa nguvu kiasili kwakuwa wao ni roho wakati wachawi ni binadamu wanaojaribu kutengeneza roho za kishirikina
kwahiyo majini wanaoitwa na wachawi ni tofauti?katika kundi hilo majini bahari hawamo?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom